Search results

  1. msavangecalvin

    Website mpya wa watu wa IT

    Aise haifungua mbona
  2. msavangecalvin

    Tatizo la maji kwa Watanzania ni ufinyu wa fikra za watanzania

    Safi Sana kiongoz, kwel kabisa fikra ndio uhuru wetu. Nimekuelewa vzr Sana na nimepata kitu kutoka kwako hongera Sana
  3. msavangecalvin

    Msaada: Naomba mtu mwenye no ya babu tale

    Natumai tu wazima ndugu zangun, Kwa upande wangu Mungu ni mwaminifu kwangu. Naomben yeyote mwenye no ya tale tafadhar anitumie Nina shida naye sio Kwa lengo baya Bali kufanya naye biashara. Asanten usiku mwema
  4. msavangecalvin

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Sorry kaka nilikuwa nimetowe kidogo mtandaoni, bado ipo hiyo ovener
  5. msavangecalvin

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Natuma hamjambo Wana jf. Naombien kupatiwa ufafanuz juu ya vifaa (equipment) zinazoitajika unapotaka kufungua bakery?
  6. msavangecalvin

    Sakata la Wabunge wa CCM kuhongwa: Mbowe aongea na wanahabari

    Natumai tu wazima wa afya Tele Wana jf. Naomba kujua ukweli kuhusu hii nakuuu kutoka kwa kiongoz wa kambi ya upizan mh. Freeman mbowe "ni aibu, na haijawahi kutokea katka historia ya Tanzania wabunge mbaka mawaziri kupokea burungutu la pesa kwenye bahasha za kaki" Swali langu je ni kweli hawa...
  7. msavangecalvin

    Milinga: CCM haitumii miujiza kutawala; ashangaa Mbowe Div.O kuongoza PhD kimiujiza!

    Hili ndilo tatizo la watanzania, elimu yetu ya bongo inaeleweka unachosoma darasani sicho unachokikuta kazn, bado watu tumekuwa wazito kuelewa. Alafu ifahamike hiv, kuongoza au uongoz ni wito jaman sio elimu!!!!!!
  8. msavangecalvin

    Inakuaje wasomi wanafanya mambo ya hovyohovyo

    Tatizo cio usomi tu, je elimu imekukomboa? Wengine tunasoma Lakin hatuelimiki, poor believes pia hatar ndo kuto kuelimika kwenyewe huko! Ushafundishwa kwa mganga anakulia pesa tu bado unaenda si uzoba huo!!!!!!!!!!!
  9. msavangecalvin

    Lililofanyika nchini Ghana likifanyika hapa Tanzania tutaumbuka wengi!

    Ni mtazamo wangu tu, nafikili hao viongozi wa dini nao walifikilie hilo suala kwa kina Zaid. Kwan kama watu wamekwisha kupendana then ukaja kukatisha mahusiano Yao ni vigumu kidogo. Kwetu Tanzania hiyo itakuwa ngumu sana, kwanza ndo utapelekea ishu ya kufunga ndoa kutoweka kabisa sababu ya woga...
Back
Top Bottom