Kama una malalamiko contacts za wawakilishi wa wafanyakazi zipo wazi na wanajulikana.
Je ulishawasilisha malalamiko kwa mwakilishi wenu na alikujibu vipi?
Unaweza ku attach barua ya majibu ya maswali yako humu ili tuisome?
Unaweza kuleta ushahidi ku support hizi tuhuma?
Pili, hakuna malalamiko yoyote yale ambayo hayashughulikiwi je uliwasiilisha malalamiko na ushahidi wapi? na ulipewa stakabadhi na nani?
Je what about makampuni kama CRJE, CITIC, ESTIM na mengineyo ambayo yanapata contracts PSPF?
Uzuri NSSF haiendeshwi kienyeji
Ina wawakilishi wa wanachama na kila linalofanyika tayari lishapata baraka za hao wawakilishi wa wanachama
anyway Daraja mwendo mdundo.
Waungwana:
Unlike mashirika mengine ya Umma na ya binafsi, sisi huku NSSF huwa hatuna makuu. Team yetu inaitwa TEAM RESULTS ORIENTED.
Tumesema Tunajenga Daraja la Kigamboni (wana kigamboni wanaliita la Daraja La Dau) ushahidi huu hapa chini:
Tumesema kuwa Kigamboni tunajenga sattelite...
Men lie, women lie numbers dont lie
Nitajie Pension fund inayofanya social investments kubwa kuliko zote Tanzania
Nitajie pension fund yenye coverage kubwa kuliko zote Tanzania
Nitajie pension funds ambayo ime raise the bar kwa service nzuri kuliko NSSF?
Are we perfect? the simple answer is...
pole sana kwa kutopata kadi yako ontime lakini tatizo hilo lishashughulikiwa na pole sana kwa usumbufu
pia ningependa kukufahamisha kuwa youtube ni mojawapoya njia za mawasiliano na watu na nakuhakikishia kuwa tunafanya kazi masaa 24 kuhakikisha wanachama wetu wanapata fist class value for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.