Ulitaka alale na jeans useme analalaje na nguo! Wewe jamaa vp umepewa green light
...tukapanda kitandani cha ajabu kalala bila nguo kilichofat niliifumua ile manzi ya kinyiramba ki-hip hop sana
Sioni tatizo ktk kuanika chupi zake ikiwa hazijatoboka kati, ama kulegea kiunoni au kuchanika, ama kati kuwa na weusi.
Kwani hao wapangaji hawajui kama mkeo anavaa chupi?
Tofauti na imani za kishirikina sioni tatizo. Usipende kujipa shida zinazoepukika kaka.
Nakubaliana nawe. Ndio maana huku juu nilisema ashirikishe familia yake. Halafu familia kama itaona n lazima kwa wakati huo kusema basi kikao cha pande mbili kitaketi.
Tupo pamoja mkuu
Nimepigia mstari hisia zangu. Asante kwa ufafanuz.
Insider ushauri wangu
Mwambie huyo dada ukweli wote na msimamo wako mapema sana. Mwache aamue yeye kuendelea nawe au kuachana nawe.
Huyo dada anakupenda sana, akikufungua moyo kupokea hiyo taarifa kwa amani na kukubali yaishe mtaishi kwa amani
Insider na mama J hawajafunga ndoa bado, ndio wapo ktk mchakato. Ndio nikamshauri kabla ya kufika mbali aweke wazi kuhusu Iryn na mtoto.
Huyo mama J ndio ataamua kuendelea na mchakato wa ndoa ama la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.