Search results

  1. Y

    Ombi la Tangazo kutoka NEC kuhusu kusimamia uchaguzi

    Habari zenu Naomba mwenye lile Tangazo la kuomba kusimamia uchaguzi lilolotolewa n.a. Tume anipatie
  2. Y

    Mwaka wa kwanza wa SUA tunateseka!

    Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
  3. Y

    Suala la Boom: Hawa SUA wanataka tuishi kama watumwa

    Wengine hapa walishaanza kuulizia boom la pili lakini kuna watu mpaka leo majina ya kusaini hskuna hasa 1st year Tutakufa na njaa aseeeh mtu unakosa hata 10 mfukoni afu unajiita upo sokoine univerdity....duhh too much sasa
  4. Y

    SUA mtatuua na njaa

    mpaka sasa mwezi unaelekea was pili sasa sijui tatizo nini majina wanatoa mawili mawili tutakufa na njaa aseee...maisha magumu huku wengine washapata wachache sisi tunaisoma nambaa mpaka Leo duh........Mungu tupiganie
  5. Y

    Mahafali 32 SUA ni Ijumaa huku wengine wanalia na boom

    Ijumaaa ni mahafali ya graduates SUA bila uongozi, bila mkopo,bila boom watu tunashindia maji sasa hii ni hatarii kwa wadada zetu ambao hawana uvumilivu, wataharibiwa bila kupenda ila kitokana na mfumo uliopo itawaathiri kama ingekuwa inawezekana wadada ndo hata wangepewa boom ili pengine...
  6. Y

    Huku SUA Tunaisoma namba, Majina ya mikopo hayatolewi

    Leo mweziii toka bodi watoe mikopo kwa wanafunzi lakini leo ni mwezi hela ya kujikimu(boom) kwa vyuo vyenye hadhi kubwa kama SUA ni janga....majina hayatoki ya kusign hadi leo wanatoa ma wili mawil...duh tunaisoma nmba
  7. Y

    Loan allocation for continous students OUT

    wale continous allocation zao zimetoka lkn kama ulisup...au ulishikwa hata coursework moja mkopo haupo labda batch inginee
  8. Y

    Hizi loan allocation majina yake yatatoka lini vyuoni basiii

    Leo almost week na kitu imeisha ukilogin unakuta loan breakdown tu kila siku majina hayaji vyuoni mpaka lini sasa maaanake tunasubil kila siku hakuna asee
Back
Top Bottom