-To raise...salaries of workers
Enact laws and implementation
-
Provision of employment opportunities to the members....of the society
Education
emphasizing people...people to work
effectively in production sectors like industries and agricultural sectors
--------END------------
Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
Wengine hapa walishaanza kuulizia boom la pili lakini kuna watu mpaka leo majina ya kusaini hskuna hasa 1st year Tutakufa na njaa aseeeh mtu unakosa hata 10 mfukoni afu unajiita upo sokoine univerdity....duhh too much sasa
mpaka sasa mwezi unaelekea was pili sasa sijui tatizo nini majina wanatoa mawili mawili tutakufa na njaa aseee...maisha magumu huku wengine washapata wachache sisi tunaisoma nambaa mpaka Leo duh........Mungu tupiganie
Ijumaaa ni mahafali ya graduates
SUA bila uongozi, bila mkopo,bila boom watu tunashindia maji sasa hii ni hatarii kwa wadada zetu ambao hawana uvumilivu, wataharibiwa bila kupenda ila kitokana na mfumo uliopo itawaathiri kama ingekuwa inawezekana wadada ndo hata wangepewa boom ili pengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.