Sipati picha bunge la 2020 litakuwa vipi!! Vilaza hawatakuwepo.
Nitaomba bunge la kujadili mswada lifanyike uwanja wa Taifa. Ili na wenye inchi tuwepo na yule atakaye sema ndio kwa uduanzi wa kusupport chama tunamalizana nae hapo hapo.
Kuna mahali nilisoma eti Shitambala alisema kuwa mswada wa katiba hauna tatizo! Angekuwa karibu ningemtwanga.
Hakuna kulala. Wamekubali kusitisha mswada wa katiba ... Sawa mapambano yanaendelea.
Mfumuko wa bei nao tukomae nao.
Huyu jamaa namfahamu kuwa hafai tangu kutambo! Alinidhulumu pesa yangu akifanya kazi za kiwakili. Ni katika mchakato wa kusajili kampuni yangu ndipo akatokomea na nikajua hafai. Alipo ihujumu chadema ktk mchako ule wa ubunge nikaconfirm kabisa. Kwake pesa ni muhimu kuliko maslai ya taifa.
Nimekusoma kamanda.
Rais ni mweupe kichwani. Hana uwezo wa kufikiri mambo ya msingi .... he just wanted the title ila sio majukumu.
Mwanaume mzinzi uwezo wake wa kufikiri ni finyu always.
Can't the Tanzanian themselves invest and do this project. If the benefits are so high to help our country.
Kama serikali haiwezi waache pending vipo vingi vya kufanya. Ntatoa mfano mmoja.
Tanzania tunazalisha ngozi kila siku kutoka kwa Ng'ombe, Mbuzi na Kondoo.
Serikali ianzishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.