The World Happiness Report (WHR), published since 2012, has found that happiness is less evident in Africa than in other regions of the world. While there are 54 African nations, the report tracks the happiness of 44 African countries polled by Gallup World Poll (GWP).
The least happy country...
Mwanasiasa Julius Malema na Chama chake EFF wamepanga kuanzisha maandamano ya kum'ngoa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma leo.
Maandamano yasio na kikomo yataanzia Church Square katikati ya jiji la Pretoria. Julius Malema akiwa anawahutubia wafuasi wake mbele ya Mahakama Kuu Pretoria aliwaambia...
Watanzania wawili huko Mozambique wamemuua kijana mwenzao kwa kumpiga nyundo ya kichwa kwa ajili ya unga mwisho wa mwezi uliopita Mei 2016.
Tangu kwa kutokuiingia kwa unga katika fukwe za Tanzania vijana wengi wanaouza unga wamekimbilia nje za nchi hasa South Africa, Mozambique, Madagascar...
A man travelling from Tanzania has been arrested at OR Tambo International Airport in a R12 million drug bust.
He was allegedly carrying the drug ephedrine, worth over R12 million, in his luggage.
Officials say when he was asked to put his luggage through the customs scanner, it revealed 10...
Jana kulikuwa na ufunguzi wa Kampeni za Masaburi kwa ajili ya mbio za kugombea ubunge kupitia jimbo la Ubungo 2015. Akiwa amezungukwa na nyomi la watu pamoja na wanachama wapya waliokuwa wamerudisha kadi za chadema kwake kupinga kuondoka kwa Dr.Slaa.
Magufuli ni Kikwete mwengine ambaye ni mwanasiasa aliyefilisika kihoja na asiye na mvuto na hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya ujeuri. Magufuli ni mtu anayetaka kupewa kura kwa kuonewa huruma . Tangu achaguliwe kuwakilisha chama chake kwenye uchaguzi mkuu hajaweza kuhamasisha watu na kuwapa...
Vikao vya CUF vimemalizika na wamekubalia kuwa CUF watatoa mgembea mwenza na CHADEMA watoe mgombea urais.
Juma Duni ndie atakaye kuwa mgombea mwenza kupitia CUF. Kutokana na CHADEMA kutoa Mgombea urais sheria inasema pia mgombea mwenza atoke chama hicho hicho kinachotoa rais.
CUF wamekubali...
Government research shows that 30 elephants are slaughtered a day by poachers in the country.
Ever more of them are going to the grave – and their...
Mabasi 5 ya Champion yamebeba Wanajeshi yako njiani yanakuja.
Serikali yatoa tamko yasema watu 91 wanashikiliwa.
Bunge laahirishwa tena. Kupisha uchunguzi na kuepusha uchochezi kutoka kwa baadhi ya wabunge. (Kwa mujibu wa Spika)
Maeneo ya Magomeni, Chikongola, Nkanaledi, Mikindani maaskari...
SMILE Communications Tanzania, a subsidiary of Johannesburg-based Smile Telecoms Holdings, said on Friday it had launched the long-term evolution (LTE) service, commonly called 4G, in Tanzania.
Smile was founded by Irene Charnley, a former executive at MTN Group, who is its CEO. Ms Charnley...
Kwa wale mliombali na TV basi unaweza kuangalia live streaming kwenye hii link
http://www.atdhenet.tv/46113/watch-bayern-munich-vs-real-madrid
Kwa mlio bongo nakushaurini muangalie tv hii link itakumalizie bandwidth zenu na Adsl yenu ya kunesanesa kama Serikali ya M k ere bora mmpate update...
The youth of the African continent should prepare themselves for a rebellion against their older generation and claim their leadership role Thabo Mbeki said on Saturday.
Mbeki who was addressing the Youth 21 global leadership forum in Nairobi, Kenya said two thirds of the...
Wakuu habari za masiku, Juzi nilipokuwa nasinzia sinzia , hafla nikasikia njemba 2 zikimtumia email Dj wa show kwenye station ya radio kumuomba ampigie g/f kum-wish happy birthday. Kumbe na mwengine pia akawaametuma email kwa dj na kumuomba the same request kwa same woman sikilizeni hapo
Dear god, I pray, that when the sni grows and blackwash spreads it will not be constituted by cowards and liberals who are afraid to take a stand. Lets not desire unity for unitys sake. Dear God, you have carried us through 50 yrs of Poverty, Dear God, can you give us the strength to fight...
Tanzania ni moja ya nchi inayokuwa katika Soko la Mawasiliano (Telecommunication) na karibia kila mtu ana simu ya kiganjani. Kama tunaweza kutransfer pesa, kuangalia salio katika akaunti yako kwa nini tusiweze kupiga Kura kwa kutumia meseji (SMS) ili kuondokana na tatizo la kina Tendwa na genge...
ID: Paw
Sababu: Kumkashifu Invisible
Duration: Life
===========
ID: PainKiller
Sababu: Kumzushia Uongo Mzee Mwanakijiji
Duration: Mpaka Mpangaji Wa Magogoni amalize muda wake au afukuzwe na wenye pango lao
==============
ID: Snail
Sababu: Kumtongoza Vivian & Jestina
Duration: Mpaka...
Haya mambo kwa Bob yamekucha tena wakati Mafisadi wanagawa Ardhi yetu kwa Wazungu, Mugabe anakula nao jino kwa jino.
Zimbabwes government has given foreign companies including miners and banks a 14-day ultimatum to submit plans on how they propose to transfer majority stakes to local owners...
Information was finally confirmed that the government of Tanzania has indeed used some of their sparse cash to pay for major aircraft maintenance for Air Tanzanias (ATCL) sole aircraft, a Bombardier Q300. The plane was withdrawn from service early this year and flown to South Africa for a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.