Sikilizeni watanzania,
Bima ya mkopo ni sheria ya Bank kuu kwa taasisi za kifedha zote zilizochini yake.
Bima ya mkopo uliyokatwa wakati wa mkopo inapelekwa kwenye shirika la Bima ,
Bima ya mkopo ina cover, Kifo na ulemavu wa kudumu
Endapo Mnufaika wa mkopo atapokufa au kupata ulemavu wa...
hicho cha 39,000 je kifurushi kikikata unapata local channels,? Maana naskia vya dish hupati local bila bando. Nafanya research nichukue kipi kati ya digtech na star au continetoo
nyinyi hamuijui njombe.... Ukibahatika kufika njombe ulizia bar moja inaitwa TAREE.. Japo zipo nyingi ila hii ndio kiwanja kikubwa cha ufuska.. Ngono na pombe kwenda mbele.
halafu sababu kuu ya ugonjwa huu ni kwamba...bar nyingi za njombe zina tabia ya kubadilishana wahudumu..mfano baa A...
kuna haja ya magari haya kuwekwa SEAL baada ya kupakia mzigo, kama magari ya mafuta. Wahusika sikieni hili. Hapa serikali ingepata kipato kwa tozo la faini ya mazingira.
kuna mama mmja mjane alibakwa...ilikuwa mtata mwishowe ikaingia...akatulia tuliiii akaonyesha ushirikiano kabisa kila kitu..walipo maliza yule mama akaanza kupiga kelele...eheee..
asante san, tutaongeza umakini na hawa vijana. Kuvaa tshirt ya kampun isikupe sababu ya wewe kumwamini 100% tena una mpa simu aichokonoe chokonoe simu ya milioni unampa mtu ambaye u just met......
ukisoma kwa makini kitabu cha JIFUNZE UCHAWI volume 1 kile kipengele cha tatu a na cha sita b, kimesisitiza kabisa kuwa pesa ni karatasi,pesa huwa pesa nje ya uchawi...ndani ya uchawi hakuna pesa yaani mchawi akiwa uchawini haoni pesa anaona makaratasi. By the way hicho kitabu bado sija ki publish☺
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.