Naomba kuuliza au kuelekezwa kuna vigezo gani hufuatwa ili makao makuu ya wilaya yaweze kujengwa mahala fulani?
Nimeuliza hilo sababu kuna sintofahamu wapi makao makuu ya Wilaya ya Kilombero yawekwe japo kwenye kikao cha madiwani walikubalina yawe Mngeta ambapo kimsingi ndiyo katikati ya wilaya...
Kama kweli rais wa jamhuri ya muungano ni rais wa wanyonge kama anavyojiita,awapo ziarani mkoani Simiyu naomba akayatoyalee ufafanuzi haya;
Huduma za afya katika hospital za mkoa huo ni mbovu sijawahi kuona hasa hasa wilaya ya Maswa ambayo kwa hakika kama kuna mwingine anaifahamu vizuri hii...
Naomba Waziri Mkuu kama atasikia au kuona huu uzi aende wilaya ya Maswa-Simiyu,maana nahisi imesahaulika kwa kila kitu hadi huduma za jamii kama maji, afya na mengine mengi yanafanywa ndivyo sivyo.
Nina mwanangu ana umri wa miezi 13 sasa lakini tatizo lake hataki kula chochote isipokuwa anataka kunyonya tu kwa mama, sasa nifanyeje huyu dogo apate kula walau kidogo?
Naomba kuelekezwa namna ya setting ya cm yangu TECNO P6 ambayo huwa ina load previous sms nilizokwisha delete kwenye inbox, wakati setting yake ya ku load previous sms iko off.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.