Kiukweli huyu msichana wangu wa kazi anatumia simu vibaya mpaka inakera muda wote ana chati anaongea na simu usiku wa manane kibaya zaidi analala na watoto kwakweli nitapata dhambi lakini hapana lazima niiharibu simu yake ila sitaki ajue kama nimeiharibu naombeni tusaidiane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.