Mi bado naendelea kuishangaa nchi yetu. Leo tunajiandaa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wetu, lakini viongozi wapenda hela na maisha bora yao na familia zao waliopo madarakani wamesahau kabisa majukumu muhimu ya ustawi wa jamii yote ya kitanzania. Utakuta wanatanua na magari na wanaishi kwa kodi...
Jamani wana JF. Mimi ninafanya kazi hapa Halmashauri ya Wilaya Ngoro2, makao makuu yake ni Loliondo. Kutoka hapa kwenda Sami=unge ni km 56Km hivi
Mi naomba tu niwaondoe dukuduku maana nyie mpo mbali na hapa.
Ni hivi, Hapa tulipo tulio wengi hatujaenda kwa babu kwa maana ya ule usemi "Nabii...
Mi naona mawazo yote ni mazuri. Lakini mi ninachoamini ni kwamba njia za kisasa ni safe ingawa si nzuri kwa afya.
mi nimesikia watu wengi sana wanapatwa na matatizo hasa wanawake kwa kukosa au kucheklewa kushika mimba au kushika mimba na kutoka. Wengi hawashabikii sana hizo za kitaalam.
Mi...
Na mimi naiomba wazee maana ujasiri wa mali ni muhimu kwa maisha ya leo. Kama inawezekana naomba unitumie kwa mail yangu hii: yonahphares @yahoo.com
Nitashukuru sana wana JF kwa mambo yenu mazuri haya.
Kweli hiyo kali,
Ila mi sishangai sana hapa kwetu tz. wazazi wamekuwa na tabia ya kupiga hesabu ya gharama walizotumia kwa mabinti zao na kufanya zilipwe wakati wa mahali. Nadhani ndo maana hata ukandamizaji kwa wanawake hauishi na mfumo dume ndo unazidi kukua ingawa wanawake wanakimbilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.