This is what they always think:
BBC News - Nigeria churches hit by blasts during Christmas prayers
Ni mtizamo tu. Mods mkitaka mhamishie kwenye internationa forum, au mnipige ban.
nshazoea.
bahati mbaya kwa ccm ni kwamba the so called moronic plebiscite voters are rapidly vanishing. isipokuwa kama mnazaliana kama mende, your kiddos will vote for the crap ccm in the future, otherwise, tafuteni pa kujificha au mjiandae kutawala kwa kuchinja wanaowapinga.
It's a shame that we have a president who has never been, never he is and never will be a role model. he's a complete failure and i wonder if he thinks he is proud of leading this nation.
Nepi anasikika na watu wa magamba tu.
sisi wengine tunaendelea kusikia harufu ileile ya ccm ambayo haina tofauti na harufu ya choo cha passport-size kipindi cha mvua za masika.
sasa kama kiswahili ni international language kwa nini yule maza wa kizungu aliamua kupasua mayai hali akijua kiswahili ndiyo lugha ambayo yeye na salima ingewaunganisha?
kama una ushahidi kiswahili ni international language weka link.
kwa Muammar Qaddafi kuna jangwa na ukame miaka yote...hawana shida ya maji, barabara wala umeme. na wanatusaidia kutujengea misikiti huku huku kwetu. huyu mtu wetu anaposimama na kujitetea ati tatizo la umeme ni ukame, bado simuelewe. mimi siyo juha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.