Inaonekana Israel ni kama Underdog, but never underestimate her, Zionist are dare minded to confront any one who comes after their beloved territory, They have ever never been cowardly (😂) to defend the origination of Zionist.
Ukifuatilia kwa umakini hiyo inayoitwa gaza ilikuwa ni ni izrael , kipindi kile wana wa izrael walipelekwa utumwani misiri waliowaondoa hapo ni hao hao wanaofurushwa leo hii, Gaza Ni Aridhi ya Izrael mtakuja kuelewa badae.
Hapo hapigwi Hamas bari Mzayuni anarudisha ardhi yake yote na hapo pote...
Mi kuna siku hapo UDBS Miaka ya Nyuma kidogo nilipeleka mpunga sikuendakuchukua ila nilipeleka kuweka , nilipeleka m3.5 na nilihesabu vyema na kujiridhisha vizuri kwamba hela ilitimia, wakati niko na bank nishamkabidhi zile hela na akaweka kwenye counting mashine , ghafla nilipigiwa simu maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.