Nani anaweza kusimama na kuyapinga maneno ya Tundu Lissu yote aliyoyaongea kuhusu serikali juzi haswa lile la kuteua viongozi serikalini kikanda......!
Hadi sasa wanaojitahidi kuipinga kauli za Lissu juzi hawajamjibu wala kuonyesha uongo wa kauli zake zaidi wanatoa maneno ya kusutana kama...
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Vicent Mashinji Ajiuzulu kwa maslahi ya Upinzani Tanzania.
Ni takriban miaka miwili sasa tangu Dr Wilbroad Slaa Katibu Mkuu wa zamani CHADEMA ajiuzulu wadhifa wake na kujitoa kwenye siasa za majukwaani.
Ni ukweli usiopingika kwamba wengi wa wananchi hususan CHADEMA...
Nimetoa kwenye ukurasa wa Facebook wa Malisa GJ.
Kuna mambo mengi yanazungumzwa mitandaoni kuhusu uchaguzi wa jana wa EALA. Sikutaka kutoa maoni yangu lakini ngoja niseme yafuatayo;
Kitendo cha Kamati kuu ya chama chetu kuwapitisha wagombea 6 maana yake iliwaamini hao 6 kati ya wengi...
Wanabodi,
Kuna vurugu kubwa maeneo ya stend ndogo Arusha Jiji la Arusha, vurugu hizi zimesababishwa na hatua ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kutoa barua za kuwapa vibanda madalali ambao hawafanyi biashara. Mgogoro huu ambao umchukua sura mpya ikiwa ni pamoja na tuhuma za hao madalali kutoa...
Habari inayodaiwa kutolewa na Mwakyembe kwamba Mhe.Nassari aliingia na chupa ya konyagi bungeni akazuiwa mlangoni (lango kuu la bunge) sidhani kama imetoka kinywani kwa Mwakyembe. Kwa sababu siamini mtu mzima tena mwenye PhD kama anaweza kusema uongo wa hovyo kiasi hicho.
Habari hiyo ni ya...
CCM akili zenu finyu sana. Sasa tatizo hapo liko wapi? Malisa alitumia takwimu kuonesha kwamba Lowassa anakubalika kiasi kidogo ndani ya CCM kuliko Dr.Slaa alivyokua anakubalika ndani ua CHADEMA.
Hoja ya Malisa ni kwamba Lowassa ndani ya CCM alikua anakubalika kwa chini ya 20% jambo ambalo...
'Mwalimu aliyehamia darasani amefanya hivyo bila mimi kujua, kashaweka mapazia vitanda na kufuli' - MWALIMU MKUU KANDAGA
Mwalimu Mkuu Kandaga athibitisha Mwalimu mmoja kuondoa madawati na kuanza kuishi darasani asema 'nimechoka kuishi uraiani'
=====
Mwalimu mmoja katika shule ya Kandaga...
Dodoma. Wabunge wa CCM wameitaka Serikali kutoa majibu sahihi bungeni kuhusu utambulisho wa mtu aitwaye Daudi Bashite.
Sakata hilo liliibuka juzi katika kikao cha wabunge wa CCM kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini hapa.
Wabunge tofauti waliozungumza na Mwananchi walisema...
EU YAISAIDIA TANZANIA: Serikali yapokea msaada wa kibajeti wa Sh490 bilioni kutoka Umoja wa Ulaya zitakazotolewa kwa miaka 4 kuanzia 2017/2018.
======
Umoja wa ulaya kuipa Tanzania Shilingi billion 490 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Umoja wa ulaya umeingia mkataba na serikali ya Tanzania...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KUHUSU UTEUZI WA WAGOMBEA WA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI
IMETOLEWA NA:
MSIMAMIZI WA UCHAGUZI
S.L.P 941
DODOMA
3 APRILI, 2017
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KUHUSU UTEUZI WA WAGOMBEA WA...
.
PICHA NA ELIMU KUBWA
Picha hii ni ya mwaka 2010, yaani miaka saba iliyopita. Wa tatu kwa waliokaa kutoka nyuma ni Kassim Majaliwa ambaye wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji. Majaliwa hakuwa hata mbunge wakati huo.
Nyuma ya Majaliwa ni Prof Mark Mwandosya ambaye wakati huo alikuwa...
.
Wale mnaotumia usafiri wa daladala kwenda makazini kaeni mkao wa kutembea kwa miguu kwenda makazini maana kesho wamiliki wa vyombo vya usafiri wametangaza kuendesha mgomo usio na kikomo kupinga sheria wanayoiita kandamizi.
Sipati picha kesho Dar itakuwaje, wale wa mikoani nao itakuwa kero...
.
Lissu: Nilinusurika kupigwa na Wasira
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na mbunge wa zamani wa Bunda, Steven Wasira katika moja ya vikao vya Bunge mjini Dodoma.Soma Zaidi..
=====
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu alinusurika kushambuliwa na mbunge wa...
Naitwa Juma Pombe Maharage kwa nipo Kagera kikazi kuna jambo moja linanisumbua sana naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye mahusiano ya kipenzi sasa zaidi ya miaka saba lakini jambo limenishangaza ni kwamba kila mwanamke ambaye nalala naye na kufanya naye mapenzi baada ya muda mfupi wananiambia...
Serikali ya Tanzania inapoteza kodi ya sh. bilioni 6 kwa kila mwezi kwa kuzuia uuzaji na uzalishaji wa viroba bila kufuata. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzuia uuzaji na uzalishaji wa viroba nchini wafanyakazi zaidi 600 wamepoteza ajira.
Wafanyabiashara zaidi 100 wamepata hasara kubwa...
Najiuliza sanaa!! Mh.Rais umesema hupangiwi unaamua Mwenyewe, sasa hawa mawaziri ni wa nini!? Na wabunge wanaenda kufanya nini bungeni!!? Wakati watakacho panga kama watunga SHERIA hutakifuata!!...
.
Chanzo kikubwa cha baadhi ya matatizo tuliyonayo leo kinaweza kuwa ni maneno tunayopenda kuongea ongea?
Unaweza kuwa unapambana kweli kwenye ndoa yako ila mambo hayaendi. Au unapambana kweli kuwatoa baadhi ya watu moyoni mwako ila umeshindwa. Au vitu kwenye maisha yako haviendi tu vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.