sheria ambazo zimetungwa na wabunge wa CCM nimemlinda Raisi hawawezi kushtakiwi akiwa madarakani hata atapoachia madaraka ndo maana dikteta uchwara anavunja sheria anavyotaka
pole sana kwa kuamua kuwa kwenye chama ambacho kinaongozwa mtu ambaye hashauriki wala kufuata sheria leo Tundu Lissu yupo kitandani amepigwa risasi watu wasiojulikana kosa lilikuwa ni kusema ukweli ndege Bombadier yetu imezuia Canada kwa sababu ya madeni
Kwenye biblia,hakuna utawala na Binadamu waliomuacha au kumuasi Mungu wakaishi vizuri mpaka mwisho. Mungu aliwaacha na kuwaadhibu. Mnaposhauriwa kutubu ni kwa nia njema tu,sababu utawala huu hakika hauna Mungu
Hilo kundi la wapiga dili, unaweza kututajia japo wachache wanaoliunda?
Katika hilo kundi, ni nani wanawatumia watu wenye image na influence, na hao watu wenye image na influence ni akina nani?
Kuteka watu, kufungia magazeti,kukandamiza demokrasia, kuendesha nchi kwa familia yake, kuongoza nchi...
CCM haina viongozi wenye uwezo wa kujibu hoja kwa hoja zaidi hao waropokaji. Kuhusu washauri huyu mtu alishasema hadharani hana mtu wa kupangia hashauriki kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.