Leo mida ya sa11 na nusu jioni nilikua nasikiliza kipindi cha redio kwenye Metro FM ya jijini Mwanza ambapo msanii aliyetamba sana na kundi la wakali kwanza QJ alikuwa akihojiwa na akasema kwamba anarudi tena kwenye game ya mziki na kundi lao la Wakali Kwanza nalo linarudi huku akisema kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.