mwalimu wa historia aliuliza swali wanafunzi.
mwalimu;.hivi ni nani alimuua chifu mkwawa?
mwanafunzi wa kwanza: sio mimi....
mwanafunzi wa pili: wala sihusiki.....
mwanafunzi wa tatu: kwanza mimi jana sikuja shule..
mwalimu alipoona wanafunzi wote majuha akamuita mkuu wa shule. mkuu wa...
Mzee mmoja alimwandikia barua mjukuu wake aliyekuwa gerezani.
MJUKUU wangu,msimu huu ctoweza kupanda mahindi kwa kuwa cna nguvu ya kulima na wewe ambaye ungenisaidia upo gerezani.
MJUKUU wake kupata ile barua akamjibu BABU UCDHUBUTU KULIMA LILE SHAMBA MAANA ZILE MIL 80 NILIZOIBA NIMEZIFUKIA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.