Nawasalim kwa upole wa kwarezima wakuu.
Nina mdogo wangu kutoka family friend ambae tumekua nae tangu tukiwa wadogo,Mungu amemjaalia mpaka sasa akahitimu diploma yake ya General Agricultural.
Lengo lake na matamanio yake anatamani afike SUA kuchukua course ya Agricultural Economic and...
Salaam wanabodi.....
Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane.
Pamoja na ukimya wote ule lakini juzi kapita mweshimiwa Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi na kuruhusu rasmi kiwanda kufanya...
Wakuu niwape salaam kwa utanashati na nidhamu iliyotukuka,
Nimekuwa rafiki sana wakutembelea huu mji mdogo wa Mikumi kwa mda mwingi sana lakini mda wote huo nimejaribu kujiuliza maswali mengi bila kupata ufumbuzi nayo nikama ifatavyo;
1.Bei ya chakula ipo juu sana hasa mama ntilie na madukani...
Kherini ya mwaka mpya wapendwa!
Bila kupoteza mda na kuwachosha kwa Maneno meengi,naomba msaada wa majibu ya swali hapo juu,hii ni baada ya kupoteza mayai yangu kwa awamu mbili mfururizo,mwanzo niliambiwa pengine yalitikisika kipindi cha kusafirisha nikaona isiwe tabu,nimepeleka mengine kituo...
Wakuu habarini za majukumu.
Kama Maada inavyojieleza hapo juu,kwa waliowahi kuhudhuria usaili wa kilimo iwe kwa kuandika au kwa mahojiano ningeomba atupe japo mwanga kidogo huku,nisiwachoshe sana na Maneno!
Natumaini nimeeleweka,Mungu awabariki nyote!
Wanabodi nisiwachoshe sana,Salaam?
Kuna ndg anaitwa Elias Jonas Samson vyeti vyake vimeokotwa msamvu stand ya mabas morogoro
O.level amesoma st peter,A.level amesoma Nyegezi seminary,na chuo amesoma mwenge chatolic university Diploma! Kama atakuwemo humu ndani tafadhali ajitokeze au kama...
Wakuu salaam!
Bila kupoteza mda nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa serikali Imezindua shahada ya kwanza ya sayansi ya kijeshi!
Je ni sayansi gani hii? Naomba kwa wanaojua anijuze na mimi nitoke huku gizani!
Chanzo ITV
Nawasaalim wakuu wa kijiwe!
Bila kupoteza mda ningependa kwa yeyote aliyopo mji huu anijuze yafuatayo!
1 chumba cha kuishi kwa mwezi garama bei gani.
2 maisha yapoje huku maana sijawahi kuishi hii sehemu
3 mtaji wa laki saba naweza kudunduliza biashara gani
4 Kilimo kinawezekana hii sehemu...
Nawasaalimu wote kwa ujumla!
Bila kupoteza mda naomba kufahamu kama kuna tawi la office za NACTE mjini morogoro, mwenye kufahamu mahali office zilipo anijulishe.
Mungu awabariki ninyi nyote!
Salaam Wakuu!
Ninamdogo wangu wa kiume amemaliza chuo ngazi ya diploma mwaka jana,(General Agricultural) mambo ya Kilimo na ufugaji.
Baada ya kumaliza nilimshauri mengi kutokana na tatizo la ajira kwa sasa ikiwemo kujiari,hasa ukizingatia alichokisomea kinampa nafasi kubwa kuweza kujiajiri...
Salaam Ndg,Jamaa,na Marafiki,Natangaza biashara ya matikiti maji yapo tayari shamba lipo !mwasonga,Wilaya ya kigamboni,hakuna tabu ya usafiri gari linaingia mpaka shamba ni karibu na barabara kabisa ile ya kwenda kiwanda cha cement,
Ukubwa wa eneo nusu eka,kuna matikiti makubwa 152 yenye kuweza...
Wanabodi nawasalimu kila mmoja kutokana na umri wake,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nilizaliwa nikiwa mzima bila ulemavu wowote mpaka naingia kidato cha nne ndipo nikapata tatizo la kutosikia vizuri,tatizo hili limenitesa sana mpaka leo nimeishi maisha ya chuo kwa shida sana hasa...
Habarini ndg zangu.hongereni na majukumu. Ninatafta mteja wa mananasi yatakuwa tayari bada ya wiki moja. Mahali yalipo ni bagamoyo yeyote aliye tayari aje PM karibuni.
Namba yangu ya simu 0676494828.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.