Upo zako Ugenini Umetulizana Kwenye Sofa Unawaza mambo yako yanavyo kwenda Ndivyo Sivyo, Ghafla Unaskia Sauti Ikiongea kutoka Jikoni,, Mnamuamini Vp Kumuacha Pekeyake Sebleni [emoji16][emoji16][emoji16]Hapo ndo utajua kweli Umechoka kias kwamba mpaka huaminiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani katika app ambayo ina usumbufu hakuna kama Kikuu.....nimeagiza mzigo kutoka nje yapata miezi miwili hadi sasa ukiongea nao ngonjera nyingi sana..
Kweli ile dhana ya kusema kanunue Kariakoo tu ni kweli...halafu wanavyojibu kwa kujisikia sasa
najiuliza sana wanawake wengi wanapenda sana kumganda mtu anaemrishisha kitandan (kumkojoza) yan hata ukimkataa na akaenda kuolewa sehem nyingine,then ukamrudia atakubali huo mchezo mfanye ili umkune..naombeni majibu kwanini ipo hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.