Pascal nakuheshim sana ww huwa nimtu makin lakin kwahili nahis utaangukia pua kwan mkakati unaotumiwa kwasasa na serikal hautambakisha mtu nakama huamin maneno yang tusubiri muda utasema,,,
Yaan serikal imtoe mtulia cuf imelete chama kubwa halafu isisimamie ushindi wake!!!kwel chadema hawana akili yaan hata hili mmeshindwa kuliona mtamjua makonda ninan nchi hii kama mnyeti na gambo waliwafanya kitu mbaya arusha subirieni makonda kitu anaenda kuwafanya
Ukitaka kujua chadema hawana shukran tizama wanavomchukulia mzee wetu baada yakwenda ikulu.tumechukia sana sasa subirin ile sapot kama mtaiona tena pumbaf
Huyu atatibiwa huko nje akija nakiherehere chake anakutana nauchaguzi wa 2020 watu wanalichukua jimbo lake kwanguvu anatupwa nje ya kinga zabunge wakati huo ukifika litaongea kama nan sanasana litaishia kufutiliwa mbali.
Binadam hata umtendee nini huwa hana fadhila huyu mzee wawatu amefanya mambo makubwa sana kwenye nchi hii ambayo hakuna aliethubutu kuyagusa kikwete alikua anachekacheka2 anaangalia naile miwan yakeeeee halafu anamalizia kwakusema sio zauma
Nikwel mm sina elim kwasababu penye wajuzi kuna wajuzi zaid napenda sana kuelimishwa kuliko kuelimisha hata namna unavoniuliza tayar unaonekana nimshar mm sitaki magomvi nataka aman kama jina la uislam lilivo
Zipo taratibu zimewekwa kwenye uislam ambazo zimejitosheleza sasa nimtu kwanza aingalie nafs yake.kwasababu mtume alituambia vitakubwa kabisa itakayokuja baada yake yy nivita uamm ya nafs kwasasa nafs kama haijakamilika hapo ndotatizo linapoanzia.kwan hata maamuz ya mtu mchamungu naasie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.