Huwa nikiiangalia mbeya ilivyo..nabaki kusikitika tu..siasa na viongozi wabinafsi kama hawa ndio wanaudidimiza huu mkoa..leo mbeya huwezi ilinganisha na Dodoma au morogoro.
Watu mnadanganyana humu,huyo sijui Doto magari angekua na hizo pesa asingeshindwa kumpa mwanae just elfu 50 pekee ya matumizi kwa mwezi mpaka kaenda kudhalilishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.