Hawa aliwawakilisha wanawake na Samia anawawakilisha wanawake wote maana wote ni wanawake. Dunia ya wakubwa hawaamini katika kuongezea na wanawake anzia Washington hadi Piong yang
Mipasho tu taarabu na maneno chungu mbovu, matendo kijiko.
Kwenye implementation mama ana 0%, usimamizi ana 0% mipango ana 10%. Na bado anaitaka Ikulu. Ikulu ni pagumu sana si kwa kila mja aende Ikulu, iachwe kwa wanaoweza na vipawa vyao
Kaka mkubwa hapa naona unatumia Nguvu nyingi sana kwa mambo ya kawaida sana.
Salaam kubadilika na kutokubadilika mie binafsi kusema kweli sioni mantiki, pengine ungetuamsha watanzania tuamke na tutafiti ni kwa nini ..." Kazi iendeleee.."?
Hapa pangekuwa na maswali mengi hypotheticals na...
Kumbe mtu mwenyewe wa hivyo! Na una harufu za ukanda na ukabila kwa kitupi kabisi una ka ubaguzi. Mtu kama wewe huwa hanipotezeagi mda wangu, wewe mwenye kujua sana endelea na thread mkuu
Rest In Peace JPM! Walijitahidi kukuzodoa na kukukashfu eti ulikuwa unatumbua sasa naona na wao kumbe wanatamani ila wanahofia walishatamka hadharani kwamba haukuwa sawa kuwaweka mizigo pembeni.
Sasa je, watakuiga? Na wakikuiga watakubali kwa bingwa vyao ulikuwa raisi wa maono?
Kimsingi mama...
Mji wa Mwanza unanijenga wenyewe na kwa kiasi kikubwa hakuna mkono sana wa serikali lakini bado inaipita Arusha kwa mbali.
Arusha inapata sana ufadhiri wa serikali kwa kisingizio ama kisa kuna utalii ndo utakuta kodi yetu nyingi inapelekwa Arusha, majumba makubwa ya kifahari, mahoteli na kumbi...
Na nasikia wamempa na u dokta, ama kweli Kibaha chajitembeza.
Kuwa na kiongozi wa hivi inakulazimu umeze panadol kila siku kwa siku zote anazokaa madarakani.
Ila hivi msoga ndo shida mie nadhani watanzania tungebargain namna ya kumalizana na huyu muuaji kwanza alafu ndo tubakie na huyu dokta...
Mzee kijana inaonesha hujaelewa kinachoongelewa na pengine umekurupuka huko ulikokuwa ukaitwa na jamaa zako mje kutetea uharamia wenu.
Hakuna pahala nimeandika wananchi wanapinga kuingia eneo la muwekezaji maana ukitaka mikoa Tanzania ambayo leo inaonekana ni mikoa iliyokuwa imezungukwa...
Yaani ndani ya Tanzania kuna watu wanataabika si masihara hata kidogo. Kilichonishangaza zaidi ni pale wenye kudai hizo pesa wamesimama kwa hakimu wanasema eti eneo lile kuna watu 400 tu na eti wamejenga vibanda tu ndo wanaishi na si nyumba wakati kiuhalisi mle kuna watu zaidi ya 700 na familia...
Tunajua kuna Nguvu kubwa sawa na ile kanuni ya Newton 3rd law of motion maana kila hili likiwekwa hapa wahusika wanajitahidi nao kulizima, moderator mnapaswa kuwa sauti ya wasio na sauti kwa kweli maana hili jukwaa ni huru.
Hoja ni hii, wakazi ndani ya mtaa wa Viziwa ziwa (VIMISA) Kibaha mjini...
Nchi ya hovyo sana hii, anyway aliyekuwa master wa hili ashakufa na alikufa na maono yake maana kwa CCM kila raisi ana maono yake na si serikali.
Na ndo maana hata ukifika pale stand ya mabilioni ya Magufuli toka JPM kafa hakuna kilichoendelea ujenzi ulisimama siku ile, kwa ndani kuna baadhi ya...
Mlipoambiwa kazi iendeleee mkaitikia kwa sauti ya juu sana ..mliuliza ni kazi zipi na ni kwanini sasa ziendelee na zilisimama lini?
Majibu ya hayo maswali kaeni nayo hivyo hivyo ..sie huku tunasema "KAZI ISIMAME" 😁😆😆😆😆😆🤣🤣🤣
Wewe kweli poyoyo, yaani gharama ndo zikupe taabu usifanye mambo ya thamani na msingi hapa duniani?
Ingekuwa ni watu kukwepa gharama kuna vitu hata vidogo tu vya kawaida wasingedhubutu mfano wa elimu ndo maana wanasema ukiona elimu gharama basi jaribu ujinga.
Ukiona kujenga miji ni gharama...
Hivi hakuna namna hii remote nayo inaweza kuzimishwa leo ama? Yaani ni kweli tumeamua kuishi na tai ya muhindi shingoni wakati tayari tushajua hatakiwi kuendelea kuuwa wenzie na viongozi wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.