hili jambo tangu nazaliwa nalitamani, tumechoshwa na watanganyika wanaokwenda kuzurura tu kule bila ya kazi maalumu, kule Zaznibar badala ya kunukia marashi ya karafuu sasa kunanuka vundo
Kukamatwa watu kula Mchana Zanzibar ~ Watanganyika wasio Waislamu wamezusha Mjadala.
Ni vyema tukafahamu ya kuwa MILA, DESTURI, SILKA na UTAMADUNI ni mfumo wa maisha kamili ya kila jamii. Zanzibar kwa karne nyingi imekuwa ikitajika na kusifika ikafikia kubandikwa jina Tolerance Country. Kwa...
Kule Zanzibar kuna ustaarabu wake mijitu mingi ya Tanganyika ikija kule inataka kufanya uchokozi kwa makusudi matokeo yake ndio hayo apo, mimi ushauri wangu kama huna kazi ya maana huna haja ya kwenda Zanzibar na ndo maana tunaomba duaa passport zirejeshwe kuingia Zanzibar ili kuondoa vitendo...
Kuna baadhi ya wauzaji au madalali wa Magari wanasema Gari ambayo ni 4Wd sio nzuri kwasababu zifuatazo.
1. Zinakunywa sana Mafuta
2.Utengenezaji wake unakuwa mgumu.
Hapo nazungumzia kwa upande wa Zanzibar,tena kwa baadhi ya Yadi ambazo ni maarufu.
Kwa mfano Dalali anaweza kukuambia kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.