Greenwich Meridian is Longitude Zero.
Mashariki au Magharibi mwa Greenwich hufanya jua kuwahi kuzama ama Kuchelewa.
Viewed from above:
Dunia ni moja na tofauti ya masaa kati ya sehemu na sehemu ni kwa sababu ya utofauti wa coordinates za Longitudes.
Simply put,Kwenda mashariki Long 15degrees...
Tunarudi kule kule
1.usiwekeze kwa mtu isipokuwa wewe( Don’t Commit to anyone, be not a fool)
2.usimpende mtu isipokuwa wewe kwanza( Love yourself first before your neighbor, none should teach you this)
3. Be empathetically SELFISH.
Usimuhurumie mwanamke, Mdanganye, mtumie, kaa nae kinafiki...
Umefila wanaume wenzio wangapi kwa ‘kutumwa’ ili uwafurahishe na ili uoneshe kwamba wewe mwamba
Hakika ukimfanyia hivyo mwanadamu mwenzio hutabaki salama, Mola Mlezi atakuadhibu tu.
Wewe!
Utata wa mwanamke unatoka wapi?
Ondoeni hii mindset vichwani mwenu- wanawake viumbe simple abd easy sana hawana ugumu wowote!
Ujinga, njaa , shida, uongo, ulaghai sasa ugumu wao upo wapi?
Wanawake wepesi sana- kiumbe complex ni mwanaume.
Usinidrive sikuzaliwa na wewe alaaa!
Sikuumbiwa mtu mmoja mimi kati ya watu 7B eti Mungu aniumbie mtu hahahaaa!
Wanadamu tunadanganyana sana, tunawekeana sana regulations hata kwenye masuala binafsi.
Haki ya mtu lazima iheshmiwe
Lazima tuutetee ubinafsi
Iam truly an individual- naweza date...
Linapokuja suala la kuongea people can Say anything,thats why i dont listen to peoples’ words—— Leteni picha na video za frontline wacha maneno.
I trust my eyes more than my ears.
You can’t escape from your female nature— All women are the same.
Kama ilivyo wanaume wote ni sawa- the nature of men.
Na Watu wote ni sawa— Human nature
Kila kitu kinaoperate according to its nature not otherwise.
Wanawake viumbe simple sana kuwajua, hawana ugumu wowote. Ni kama kutafuta thamani ya X kwenye linear equation yenye variable moja—— because they’re all the same.
Easy sana hawa Watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.