Sio wanaume wote duniani,tena tatizo hilo ni kubwa huku afrika,hili linatokana na umajnuni wa wanawake wa kiafrika wanapokuwa na uwezo kuliko mwanaume,pia ni sababu za kisaikolojia wanawake wengi huku afrika humtegememea mwanaume sasa na yeye akipata hutaka kulipa kisasi hukataa utumwa ndio...
Jini ndie lucifer,hawa ndio viumbe vya Mwanzo kuja humu duniani kabla ya Binadamu,kwenye kitabu kimoja ch dini huwaita MAJITU.hata wanasayansi wa chuo kikuu cha MASSACHUSETTS nchini marekani walifanya utafiti wao na kuuchapisha kwenye kitabu walichokiita"the mystery planet"mwaka 1989,ukisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.