Hajui kitu huyo braza...unga unachanganywa na ving...anajua uzito wa G 3 kwa mfano unatoa busta ngap??na busta moja ni kete ngap??na kete moja ni sh ngap??
Pole sana braza...this life is shit...just enjoy every second of it bro...the goal of life is happiness...and happiness does not come from material things...it's a state of inner man...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale panaitwa kitintale ni maskani ya miaka mingi tokea enzi ya barabara moja kabla mtoa mada hujaja mjin...so haiwez kufa Kama uwanja wa fisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumewastukia 2020 inakaribia mnataka kutuzuga, ILA kwa kuwa wabongo wamepigwa dripu za upuuz na umbea hakuna noma watasahau miyeyusho yenu yote..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.