Tarehe 11/4/2012 niliishiwa bundle yangu ya bomba 30.hivyo nikanunua 30,000 za muda wa maongezi kutoka kwenye line yangu ya vodacom kwenda kwenye line nyingine ya vodacom ambayo huwa naitumia kwenye modem.
manunuzi nimeyafanya 11:00am na msg ya manunuzi nikaipata kuwa nimepokea 30,000 ya muda wa...
kuna rafiki yangu kamaliza hapo na hadi leo hajapewa transcript yake zaiidi ya cheti kinachoonesha degree aliyosoma na class yake.
haya wewe bwanga hizo transcript wanachapa nje au? nimeona vyeti vyao kwa kweli ni aibu kwa chuo kama kile kutoa vyeti vyenye quality mbovu vile
ingekuwa kwetu china huyu mtu angeshakuwa historia kitambo sana kwani haturuhusu ujinga kama huu.hatua zatakiwa kuchukuliwa na sio kuangalia tu.......this is :hatari::hatari::hatari: need to :smash::smash::smash: these guys
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.