Katika haili isiyo ya kawaida katika semina ya watendaji ndani ya chama hicho wakati wa maswali katibu mmoja alisema vijana wasomi kutoka vyuo vikuu mbalimbali walioajiriwa na chama hicho wamekuwa wakiwatishia makatibu wao kutokana na elimu zao na hawakisaidii chama.
Katika majibu yake naibu...
ZA LEOLEO ni mnafiki mtu kuwa mfuasi wa kigwangalla ni kosa au kwa kuwa wewe unatumiwa na msomali bashe, usitudanganye humjui comrade sambala huyo ni mpigania haki za wanyonge
Wanajamii kuweni makinini na huyu kijana wa kisomali yote haya ameyaleta baada ya Mh Kigwangalla kugusa maslahi ya mabosi wake wanaomtumia kama chambo ila yeye hajui kwa kaajira walikompatia. asipoangalia atakuwa daraja la watu mpaka anazeeka
Hizo laptop ziliahidiwa siku nyingi sana, na wala hazijawahi kuonekana sijui ndio uchakachuaji LAKINI YOTE HAYA ANASABABISHA MLACHA INABIDI WAMVUE GAMBA ili chuo kiondokane na migomo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.