Hii Serikali Inafanya Mambo ambayo Muda Mwingine hayaeleweki Pesa yenyewe ya Septemba Imekuja Kuingiza Mwezi wa 11 Kinyume na Utaratibu kwa Hiyo Ngoja Tuona Tunakoelekea Maana Shule ni za Kwao Sio za Wakuu wa Shule au Walimu Wakuu
Naomba kujua Jinsi ya Kuondoa E - Mail ya Mtu katka Samsung Account, Simu nilinunua kwa Mtu ambaye Sina namba zake, Nataka nisajili Account Yangu Kwenye Samsung kwa Ajili ya Security
Naomba Kujua Utaratibu wa Namna ya Kufungua Google akuanti ya Kikundi cha Kijamii (Vicoba) kwa Ajili ya Kuomba Usajili.
Msaada Mwenye Kujua naomba ufafanuzi Please.
Mm nipo Sauti ila hapa Saut hawatoi kozi ya nurse bali wana course nyingine ambazo ni community development ngazi ya dip na certificate, account, Kuna chuo cha NTC kipo Ligula ndo wa natoa nurse, Kuna utumishi, Kuna TIA na VETA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.