Search results

  1. msuya4real

    Elimu bila malipo imekufa kimyakimya

    Hii Serikali Inafanya Mambo ambayo Muda Mwingine hayaeleweki Pesa yenyewe ya Septemba Imekuja Kuingiza Mwezi wa 11 Kinyume na Utaratibu kwa Hiyo Ngoja Tuona Tunakoelekea Maana Shule ni za Kwao Sio za Wakuu wa Shule au Walimu Wakuu
  2. msuya4real

    Kumbe makarani wa Sensa hamjalipwa hata Senti tano mpaka leo

    Watu waongo Mbona Watu Wameshalipwa Sehemu Zingine
  3. msuya4real

    Msaada wa kupata matokeo ya darasa la saba ya mwaka 2008

    HELLO: NAOMBA KUJUA NAMNA YA KUPATA MATOKEO YA DARASA LA 7 KUANZIA MWAKA 2008 HADI 2011
  4. msuya4real

    Kuondoa e-mail katika samsung acount

    Neno sahihi ni email
  5. msuya4real

    Kuondoa e-mail katika samsung acount

    Simu sio ya Wizi ni ya Kwangu, Na mmi Nimeuziwa na Mtu Aliyeinunua kwa Mtu naye
  6. msuya4real

    Kuondoa e-mail katika samsung acount

    Kuondoa inanitaka niweke Password ya Yule Mtumiaji wa Awali na hata Kufanya Restore inataka Niweke Pasword ya Mwanzo
  7. msuya4real

    Kuondoa e-mail katika samsung acount

    habari Mkuu ni email
  8. msuya4real

    Kuondoa e-mail katika samsung acount

    Naomba kujua Jinsi ya Kuondoa E - Mail ya Mtu katka Samsung Account, Simu nilinunua kwa Mtu ambaye Sina namba zake, Nataka nisajili Account Yangu Kwenye Samsung kwa Ajili ya Security
  9. msuya4real

    Naomba kujuzwa jinsi ya kufungua Google Akaunt ya kikundi cha jamii

    Naomba Kujua Utaratibu wa Namna ya Kufungua Google akuanti ya Kikundi cha Kijamii (Vicoba) kwa Ajili ya Kuomba Usajili. Msaada Mwenye Kujua naomba ufafanuzi Please.
  10. msuya4real

    Mifumo ya TEHAMA ndio inaiba fedha zetu au wasimamizi?

    Hapa wanacheza Shere Wenyewe, Mifumo wanaitengeneza wao na ndio Wanaoiendesha wao lazima wanaichezea Kwa Malengo yao binafsi
  11. msuya4real

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lipo Kundi la WhatsApp kwa Ajili ya Kutoa na Kudiposit Kwenye 1x bet Bingwa wa Mabingwa Ktk Bet Sent using Jamii Forums mobile app
  12. msuya4real

    Msaada ya Kuiwezesha Line Ya TTCL kuwa ya chuo

    Naomba msaada wa kuiwezesha laini ya TTCL kuwa ya Chuo, Naomba kujua utaratibu wake
  13. msuya4real

    Msaada wa majina ya ajira

    Majina hayo hapo
  14. msuya4real

    Unajua vyuo vya Mtwara! Pitia hapa...

    Mm nipo Sauti ila hapa Saut hawatoi kozi ya nurse bali wana course nyingine ambazo ni community development ngazi ya dip na certificate, account, Kuna chuo cha NTC kipo Ligula ndo wa natoa nurse, Kuna utumishi, Kuna TIA na VETA
  15. msuya4real

    Serikali Yatangaza Ajira za Walimu

    Yapo jamni Primary wameajiri waliohitimu mwaka 2015 tu huku sekondari nako Mwaka 2016 Ila naona Science tu
  16. msuya4real

    Wataalam wa GIS( Geographic information System)

    Naomba Kufahamu Components of GIS software, Kwa undani. Mwenye maujuzi katk hili please
Back
Top Bottom