Wakuu nauliza je hzi window defender za window eight na ten naweza kuzitegemea katika ulinzi wa pc yangu?
Matumizi yangu ni mtandaoni kidogo sio sana maana hata nikiingia ni saa moja na webs mara nyingi ni youtube na ku google vitu. Labda na flash kuhamisha vitu kwa matumizi hayo naweza...
VLADMIR V. PUTIN
Achana na huyu mtu asee, ukiachana na ukweli kwamba ni msomi ila pia afisa usalama wa zamani hiki kichwa kina hesabu kubwa sana..
Baada ya Obama na wenzake kumtuhumu kuingilia na kudukua taarifa mbalimbali zinazokihusu chama cha Democratic na kupelekea chama hicho kushindwa...
Wakuu kuna baadhi ya shule naomba nizitaje kama st getrude, herritage, lonica na nyingine kibao za binafsi nimeshuhudia wanafunzi wakifukuzwa na kuambiwa wakatafute shule nyingine kwa maana hawawezi kuendelea na kidato cha nne kisa hawajafikia wastani uliowekwa
Me kwa upande wangu naona sio...
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza wa udaktari hapa Hubert Kairuki memorial University HKMU. Sijawahi panga kusoma katika hiki chuo kutokana na ada yake kuwa kubwa lakini kutokana na passion yangu ya kuwa daktari na upungufu wa vyuo vya udaktari hapa nchini nikalazimika kuja kusoma hapa nikijipa...
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza wa udaktari hapa Hubert Kairuki memorial University HKMU.......sijawah panga kusoma katika hiki chuo kutokana na ada yake kua kubwa lakini kutokana na passion yangu ya kua daktari na upungufu wa vyuo vya udaktari hapa nchini nikalazimika kuja kusoma hapa...
Habaru wanajamii naomba kuuliza kati ya window 10 na 8.1 pro ipi nzuri na effective na pia program gani nyingine ni nzuri ku i keep pc yako safe secured with high speed.........
Mwanamke huyo kwa jina la marry surrat ndie mwanamke wa kwanza kuwahi kunyongwa hapa duniani akipata adhabu hiyo mnamo saa 1.22 mchana tarehe 7 july 1865 akituhumiwa kumuua aliekua raisi wa marekani kipindi hicho bwana abraham lincoln..........
33 HUMAN BODY FACTS ABOUT BRAIN PARTS AND FUNCTIONS
Nayden Kostov | December 10, 2014 | Human body facts, Interesting Facts | No Comments
FacebookTwitterGoogle+LinkedInPinterestShare
[https://www]An adult brain weighs up to 1.5 kg (3 pounds), only about 2% of body weight, but uses nearly 20%...
Habari wana jamii..... Nina tatizo hapa wiki iliyopita pc yangu ilikua nikiiwasha inaandika no bootable device nikaweka fresh hard disk ikawaka sasa wakati nafunga bahati mbaya ile hard disk ikaanguka nilipoichukua kuiweka pc ilikua inaandika acer basi hakuna kinachoendelea.... Na baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.