Big point. Sanasa ili kuacha kazi na kujiajiri unapaswa kuwa sawa kiakili (ready mind set), Na kama unaona ni ngumu kwenye mind set yako ni vyema kuwa unasikiliza motivation mbalimbali kutoka youtube na sehemu nyingine, hii itakusaidia. Maana kuacha kazi, tena unakuta umeizoea ni ngumu sana.
SAWA KABISA! Mwaka huu kama ingewezekana jamiiforums wangeongeza jukwaa la kusahidiana! Naona hii ingewafanya watu kuchukulia jambo kama hili kwa uzito wake na seriaz. (We all learned from mistake!)
Yes inaweza ikawa kweli ila don't complicate life. Na kuwatisha watu ndugu. Hekima ni experience ya magumu mtu aliyeyapitia na kujifunza bila kukata tamaa na baadae kuyaaply kwenye maisha ya kawaida na kwa watu waliomzunguka ili kuwasaidia.
Dah! Nilikuwa naona uvivu wa kuandika na namna ya kuipangilia point yangu, lakini bahati nzuri umenisahidia maana nilikuwa na mawazo kama yakwako ila namna ya kuyaweka sasa. Ongera mkuu umeongea point ya msingi kama nilivyokuwa nawaza. Ila cha kuongezea kama ni mkristo ili kujua hekima...
Mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo hutakuwa na uelewa nayo,kumiliki nyumba au kujenga nyumba ili upange ni jambo jema na zuri endapo utafata vigezo stahiki.mfano unaweza ukaamua kufanya hivyo ukawa unapangisha huku unatumia hiyohiyo nyumba yako kama security( kuombea mkopo), mbili...
Ndio wapo ila ni wachache sana rafiki.kwa njinsi navyojua watu wenye tabia hii sanasana ni wale wenye element za ujiniaz.intellent people(genius) mara nyingi uwa kivyao na kujikuta hata wakiongea wenyewe kwa sauti na hii inasababishwa na wao kufikiri tofauti sana na wengine kupelekea kuwakwepa...
Ni kweli mkuu, kibaka lazima awe fasta ili afanye mambo yake kwa slow man then apite hv huku slow man akiachwa mataa anashanga kama kobe:eek::rolleyes::oops::rolleyes::eek:
kweli nimesoma coment zako zote za juu,.nimegundua hamna kitu kichwani zaidi tu manenomaneo matupu yasiyokuwa na faida hata kwako pia. Nahisi hili watu wengi wamegundua ila kukwambia wanaanzaje sasa?,maana wataambulia za uso kwa matusi na uongouongo husio na fact hata punje moja angalau watu...
kweli jamaa yangu umetisha maana umechanganya mambo mengi kukwepa uongo uliotuleta.maneno mengi natamani nikujue maanawewe kwenye mazuri yeyote yanayoongelewa ya wahaya lazima hupo na jedwali lako hilo siku zote mpaka tumeshazoea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.