Wewe tafuta hela tu. Nakupa yangu Sasa Mimi Ni mfupi wa futi 5, Nina kichwa cha bara (yaani chogo) , Nina kililipili kile chenyewe, Bado Ni mweusi tii na masikio kma ungo lakin baby zinaniita handsome boy [emoji4][emoji4] tafuta hell tu acha kulalamika
Wadau mtupe maelezo. Yalionyooka maan kila nkigoole extotic tz naletewa Mambo ya adventure and wildlife ..... So Kama vip mshare web tugawane zambi wazee
Wakuu Mimi nimeota Leo nipo na mtu ambaye kisura simuoni tukiwa katika mazingira ya shamba ghafla akatokea nyoka nlipomwona yule nyoka yule jamaa akasema hao nyoka hawana madhara Wala usishituke.....yule nyoka alikuwa Kama wale nyoka wafupi wa mabaka ya kijeshi baada ya mda yule nyoka akiwa...
Huwa napenda sana pale CHELSEA FC anapochukuliwa kama underdog... Maana ndo mda ambao huwaacha watu midomo wazi.. Sasaivi tunaenda kukamilisha jambo letu maana hakuna atakaye amini.. Na hakuna wa kutuzuia
#ktbffh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.