Kinje ni rafiki mkubwa wa Ruge wa clouds media
obviously watakuwa wanashirikiana
serikali hii ya kinafiki haitafanya chochote
zaidi wanajidai eti wanataka kuanzisha mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za madawa ya kulevya
ni unafiki
acha uboya ww,,!jay mo ni rappa mzuri na anastahili malipo mazuri ambayo hapati,,!sasa badala afanye harakati anazd kushirikiana na wanyonyaji,,!huu ni upuuz,,!famous anajisifia kutembea na warembo,,!pigania haki upate malipo unayostahili na sio umaarufu wa kipuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.