Kuna ukweli ndani yake lkn kwa ukweli nikua hata kwa jpm watu walikua wanalalamika,walipokua wanaona Mambo hayaendi sawa. Sema tu jpm alikua mbabe asiekua na akili
CWT Kuna Hela bwana Tena Wala hazina maulizo Wala mahesabu. Waalimu wamelala Sasa kwann aende eti ktk UDC ambapo maswali mengi na kazi inategemea huruma ya mtu . Chezea Hela ww?
Jaribuni kutafuta mashairi mengi ndio mtajua maana ya nyimbo hizo. Mawazo Yako yamejazwa na hisia hizo ndio maana hisia zako zikakimbilia ktk swala la ngono. Kimtokacho mtu ndio kile Kilichomoyoni mwake
kwani wote tunafanya kazi za aina moja na ya wakati mmoja? kuna watu wanafanya kazi ucku na mapumziko yao yaanaanza asubuhi. wote ni watu wazima na tunajua majukumu yetu kwanini tupangiane muda wa kupumzika na kustarehe?
Uzuri ni kua mungu fundi iko cku hizo sheria za unyanyasaji zitakuja kwenu , mtalia na kusaga meno.
Na maneno hayo ya kua mtu abadilike ktk kuomba haki yake ni ujinga mtupu
Dah! Umemjibu vema sana. Kwani huyu mtu alipokua anatesa watu mbona wao walikua wanapiga kelele za kushangilia?
Tens Kwa taarifa yake magu hayupo mbinguni bali yupo motoni na anaejua ni mungu tu.
Madikiteta wote duniani hua wanaunda maadui wanao wazunguka.
Hivyo dikiteta Mkuu slijiundia maadui yeye mwenyewe ndani ya serikali yake kwani walikua hawafurahi Kwa jinsi alivyokua anadhurumu haki za watu
Acha uwongo, kati ya mtu mpuuzi Basi in huyu polepole. Huyu mtu alidiriki kumuona magu kama mungu, ametesa watu Kwa matendo yake na maneno yake.
Alikua wapi wakati wa magu??
Hovyo kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.