Duh! watu wengine ni wabaguzi........Mbunge gani nchi hii ametumia zaidi ya billioni moja kwenye kuchimba visima zaidi yake? kame angekuwa mbinafsi, si angenunua gari kama BENTLY kwa matumizi yake binafsi......
For Gods sake anajiri watu 24,000. kampuni gani inayo ajiri kwa kiwango hichi Tanzania? Mimi binafsi simjui ila give credit where it is due! tuache CHUKI
we mbona hujafeli! kufeli ni kupata division 0.. kuna vyuo vingi unaweza kuapply usome remedial course then unaunga degree mwaka huu huu. fuatilia st. augustine university mdogo wangu, usikate tamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.