Hii wizara inangoja nini kutoa mwongozo wa zao la choroko kuhusu bei maana imekua kimya alimanusura tupo Afghanstan.
Waziri husika embu changamka sio mpaka Rais Samia afanye kila jambo.
NB: Wanyonge wamezika hela humo kwenye kilimo hiko sasa kuzifukua imekua shida kubwa!
Kuhusu Chita, Mlimba, Turiani, Mngeta, Mbingu, n.k mkoani Morogoro
Habari wapendwa na poleni kwa majukumu ya kila siku!
Baada ya salam niende kwenye jambo husika. Kuhusu hayo maeneo tajwa hapo juu na mengine yafananayo na hayo kwa kilimo cha mpunga hapa tz, napenda kufahamu kutoka kwa wadau...
Habari wapendwa JF.
Kwa huzuni na mshangao mkubwa leo nimeshuhudia kwa macho, akili, masikio yangu nikidaiwa hela baada ya kuingia choo cha mahakamani kuu Mwanza.
Ipo hivi: Leo Jji la Miamba, Rock City (Mwanza) lilipata neema ya mvua kuanzia mapema saa 12 asubuhi mpaka mida ya mapema saa tisa...
Ndugu wana jf sikuwahi fikia muita mzee kama yule mpuuzi lakini inabidi tu.
Basi leo tukaamua na jamaa angu tuingie mjini kupiga misele kidogo baada ya kazi ngumu ambazo sio ajira.
Kona ya kwanza ya pili tunaona bango linasomeka "SALAAMAN HEALTH SERVICE" mwana akanambia embu tuingie tumuone...
Habari wapendwa,
Ndugu zangu hapo siku chache nyuma nilikuja na uzi wa maji machafu yanayotoka kwenye mabomba ya maji wilayani Misungwi.
Hakika JF ni suluhisho la kero zetu tusio hata namba ya mtendaji kijiji.hali hio limerekebishwa na sasa maji yanatoka masafi japo kiasi si salama.
Leo tena...
Habari zenu wapendwa! Itifaki imezingatiwa.
Hivi karibuni nilitembelea moja ya wilaya za jiji la Mwanza iitwayo missungwi.
Tofauti na idara za maji mikoa mingi niliyofika kuwa na usambazaji wa maji safi kabisa ambayo mtu aweza kunywa bila wasi ,hali ni tofauti wilayani hapa kwani maji...
Habari zenu ndugu wapendwa .
Poleni na majukumu ya kujitafutia mkate wa kila siku.
Ndugu zanguni naandika uzi huu kwenu nikiwa muhitaji wa kazi kutoka kwa mtu yeyote ambaye atakua na fursa hiyo kwangu.
Kwa professional, mimi nimesoma MEDICAL LABORATORY SCIENCES ngazi ya diploma. Hivo kama...
HI..........................................
NDUGU ZANGU MIMI NIMEPATA NAFASI YA KUSOMEA UTAALAMU WA MAABARA ZA BINADAMU NGAZI YA DIPLOMA.ILA KWA SASA NASOMA UALIMU NGAZI YA DEGREE KATIKA CHUO FULANI HIVI .
NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE HAPO
Hi kwa wana JF wote:
Nachukua nafasi hii kwa dhati kuwaandikia vijana wenzangu na walionizidi umri nikitaka ushauri kutoka kwenu. Mimi nimesoma mpaka form six na kubahatika kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa tanzania katika kozi ya UALIMU na kwa sasa nipo mwaka wa 2.
Kwa sasa Nimepata nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.