Search results

  1. ms2016

    Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

    Lini mnatoa Majina ya Interview . Kwa kazi Mlizotangazaaa??? Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
  2. ms2016

    Kodi ya Bajaj imepanda kutoka Tsh. 100,000/- mpaka Tsh. 180,000/- kwa mwaka 2023

    Moja kwa moja Kwenye mada. Kodi ya bajaj imepanda toka 100,000 mpaka 180, 000/- kwa mwaka 2023 Kwako Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) Yahusu Kilio cha Ongezekoo la Kodi ya Mapato Specifically ya BAJAJ Hili ongezeko ni Kubwa sana kwa sisi madereva Bajaj na Hata wamiliki...
  3. ms2016

    Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

    Atakuaa Mwalimu huyoo. Amepewa Tablet. Anataka akutambishiee
  4. ms2016

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Upo mkoaaa gani mkuu
  5. ms2016

    Kuna mtu ashawahi kupokea Parcel kutoka aliexpress kupitia Speedaf?

    Mimic Nilipokeaa Kupitia speeddaf wakala alinipigiaa Cm.
  6. ms2016

    Naombeni msaada wa mtu yeyote mwenye verified account ya Airbnb

    Jamii forum kuzuri! Swali langu, Kama sina Nyumba Siwezi wafanyiaa Booking has watalii kwa Hotels zenye Unafauu, then mimi nikawa mwenyeji waoo wa Eneo husikaaa???
  7. ms2016

    Wapi napata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Mkuu kwemaa? Naomba KUJUA MATUMIZI YA CHUMVI YA MAWE KIIMANI, Niliwahi kusomaa hapa jamii forums, kuhusu Matumizi ya Hiyoo chumvi, na wengi Huwasaidia kwenye Kuondoa mabalaa yaliyonuiwa dhidi yaoo kwa kujua au Kutojuaa. Naomba shule kidogo Mkuu. Ahsante sana
  8. ms2016

    Ajira 17,412 kwa kada za Elimu na Afya zatangazwa. Wananchi wenye sifa wahimizwa kuomba nafasi

    Wapendwa mabibi na Mabwana Tamisemi Wameachia tangazo la ajira za Ualimu na kada ya afya. Mwisho wa kuomba 04.May.2022 saa 23:59 wenye ulemavu wowote wapeleke maombi yao ( hard copy) kwa katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu aione mkurugenzi mkuu kitengo cha wenye Ulemavu. Wengine: kazi iendeleee...
  9. ms2016

    Mtoto hapendi kula, nipeni suluhisho

    Habari wakuu. Nina MTOTO umri awake ni miaka 2 na miez 6. Ameacha kunyonya miez 9 iliyopita. Tangu aache kunyonya amekuwa akisumbua kula chakula. .nimempima minyoo na Kufanya Ultra Sound. . Amepewa sana Vitamin B Complex, Dawa za minyoo. Na Zingine nying za Kufanya apate hamu ya lakini Bado...
  10. ms2016

    Ni aibu kwa taasisi za fedha kudukuliwa kama kilichotokea selcom paytech

    Ndugu Wanahabari, Kwa ujumla Mkoa wa Iringa hali ni shwari, Nichukue fursa hii kuwashukuru vyombo vyote vya habari na wananchi kwa ushirikiano wenu katika mapambano dhidi ya uhalifu. Ndugu Wanahabari Jeshi la Polisi mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya watuhumiwa wa wizi wa...
  11. ms2016

    Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

    Weo au accountant wa wap anamzidi?
  12. ms2016

    Kilichonikuta usiku wa leo, ila bado sijakoma...nitarudia tena

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. ms2016

    Ufugaji wa Nguruwe

    Ahsante mkuu , mi mwenyewe nataka nianze kufuga.kwa mtaji mdogoo. Nataka Nijiajiri. Niifanye kama ajira kama unaweza Kunisaidia zaidi nitashuru. Nahitaji Masaada wa mawazo zaidi. Hata kama kuna la Wasap la wafugaji wa nguruwe , niungwe ili tutiane moyo
  14. ms2016

    Nina wakati mgumu sana, nahisi nimeambukizwa HIV

    Mzee vp Matokeo nini kinaendeleaaa
  15. ms2016

    Naomba kufahamu biashara ya Uwakala wa TIGO-PESA

    1. Nenda TRA wakupe Tin , wafanye na makadilio yao, walipe then Wakupe Tax clearance Form. 2. Nenda ofisi ya Halmashauri/ manispaaa wakupe leseni ya biashara 3. Beba passport size na hizo documents ukiwa na 10000/- kwa ajili ya mwanasheria. Mtafute Wakala mkuu wa Mtandao husika. Atakamilisha...
Back
Top Bottom