Hii ni roho ya kimaskini tuu inakusumbua,yani uvunje undugu wa damu kisa vipande vya fedha,we jamaa utakua mtu wa ovyo sana na wanaokusupport hapa pia ni wa ovyo tuu,kaa mwenyewe meditate for at least 20-30 minutes utaona pros and cons za hayo maamuzi ya kibwege and Im sure you will change for...
Hivi ni lazima ucomment?Mtoa mada aliomba ushauri na sio mashindano ya who is right and who is wrong,kama haukua na cha kumshauri ingekua bora kukaa kimya kuliko kumuattack,hujui hata anapitia emotional stress gani.Usijifiche nyuma ya screen na keyboard yako ukaona ni sawa tuu kuandika kila...
Dah umenikumbusha musoma tech pale baruti kuna jamaa alikua anaonyesha movie kwenye kibanda umiza,jpili na jmosi zilikua zile xxx tukawa tunaita kikao ili kuweka tafsida,yani kuna mshikaji ilikua ikifika kumi na mbil jioni keshawahi kwenye kikao,daah noma sana enzi hizo
You are too bitter for ur own good,learn to forgive,forget and start again,mtoto utakae mzaa has nothing to do with your prior life,and whatever you had experienced!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.