Warren Buffet anaishi nyumba ya $31,500 ( 69,000,000 tsh ) na gari yenye thamani ya $122,500 ( > 200 m tsh).
Naona kijana miaka yake yote ya ngumi anapambana kujenga liabilities wenzake wanajijengea Assets.
Hakuna mtu mwenye akili timamu anawaza kuwa na magari mengi ya anasa namna hiyo.
Ukitaka kujua watazania wengi hawana kazi za kufanya na ni wavivu, angalia (fujo, ugomvi / kutokuelewana) kukitokea mahali wanavyojazana kama wameona Jupiter imeshuka duniani.
Uichosema kina ukweli 90% ila watatetea tu kwamba kila mtu ana ratiba yake,hakuna kitu kama hicho.
MO anafanya kazi...
Sijasema hushindi mkuu, lakini huko kushinda kwako ni probability tena chance yake ni chini ya 1/2.
Alafu ukishinda wewe kuna wenzio 1,000,000 na zaidi wameweka pesa na wamekosa, hiyo imeingia kwa muhindi.
Wewe unapata sehemu tu ya pesa iloingia tena kiduchu. Faida zaidi ya 80% kwa muhindi.
Swala ni kwamba hajakupenda.
Wanawake wana kasumba ya kufanya lolote just 4 love.
Ukiona anakwambia maswala ya ndugu, ujue na yeye kayapenda hayo maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.