Huo haukuwa uchaguzi, ulikuwa uchafuzi!
Uliona wapi watu 176 kupambania nafasi 1na kwakuwa mligombea kupitia chama cha kihu** hamuoni aibu kujitokeza wazwaz!
Tunaanza kujikwaa kwa sababu mchezo tuliuanza vibaya!
Tuliingiza mbinu chafu na kandamizi katika mchezo tukidhani ndio ushindi.
Salama yetu huko tuendako ni kubalansi mzani wa mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.