he he he heeeeeee huku kuna raha na kupunguza stress, watu wengine hawajuwi kuvaa uhusika hadi waongee vilowahusu wenyewe, kumbe wewe ndo uliokotewa huko? pole mwaya.
watu wengine ni kichef chef kweli, afadhali ungekuwa mwanamke.
kijijini kwenu mnazaliwa na phd nini? mana mimi niko beginner English class na teacher wetu kasema tuwe tunajaribu kuongea na kuandika ndio kujifunza tena hata hao walimu wa walimu huwa wanakosea, hivi kwani kuonekana msomi...
kisha umeongea kwa hasira. mie si nimesema huko mwanzo kuwa tatizo langu ni wivu, TZ TUNAOLEWA WAWILI WAWILI WATATU NA kuendelea, mimi kushare ndo siwezi hata nikijitahidi, ntabadilikaje na wanasema wivu ni kilema, ulishaonaga kilema kikibadilika?
kwani kutafuta boyfriend ndo kukosa mvuto? sikusema sitongozwi nimesema watanzania wenzangu wamenishinda kwa matatizo mbali mbali ambayo sina uvumilivu nao. i wish ungeniona one day japo njiani tu kuthibitisha usemi wako.
hao ndo wamenishinda nimekubali tu yaishe, siwawezi usipokuwa na mke mwenzio wa dhahiri basi unaye wa siri, wivu kwangu hauna dawa na mengine mengi ya kitanzania tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.