Hizi faini za namna hii ziletwe na barabarani, yaani unaambiwa makosa ya gari lako alafu unaambiwaisilipe, hiyo faini karekebishie makosa ya gari lako.
Hahahaaaa....wenye walitaka walishapata mwongozo na hawakuja kwa style kama yako,kila mtu akisema aweke mambo yake humu mbona wengine tutajiona tupo uchi,jaribu kujiongeza mkuu
Hizo ni hela alizokua akizipata kupitia system,siajabu akiendelea kubaki nje ya system mihela yake yote ikarudi ndani ya system na kumuacha kama zilivyomkuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.