Aandika barua ya kuomba nafac kwnd halmashaur unayotaka kuhamia ipitie kwa mkuu wk wa shule, deo+ded ambatanisha id ya kazi..., ukshajbiwa uandike barua ya kuomba uhamisho ipitie kwa mkuu,deo na ded then wakuandikie kibali kipitie kwa katb tawala mkoa kwnd tamisemi.
1. Hata shulen kwe2 mbn 2lipga kura hzo bila kuandika check no? 2. Mm mwnyw na ajira mpya wenzangu mbn hatukatwi cwt contribution! Unaposema ajira mpya WOTE wanakatwa unamaanisha nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.