Shida iliyoko ktk hii kada,95% ya walimu wanatoka familia maskin sasa akipata hiyo nafasi kwanza hata walimu wenzie hawaambii tena anaona bonge la chance hapo utawala unapowapiga walimu lkn nesi anaenda semina siku tatu anarud na zaid ya ml 1+ lkn mwalimu hata kuhoji n mara fuku! Nchi mwl...
Utofauti ya Jiwe na Hagaya n jinsi tu lkn tabia zao n zile zile! Heche na Lema kama walimanisha ubora ktk uongozi kwa kweli wamewakosea sana wananchi! Shida upinzan nchi haueleweki cjui kwa nn? Wananchi wanapotaka kuwaunga mkono mmoja atachomoka na kuchafua hali ya hewa na kuuchukukia upinzan...
Hawa watu wametoka familia bora akina lizione huyo atapata tabu wapi? Kuna watu wanaropoka katika kutoa kauli zao juu ya watumishi,watumishi wrngi n tegemez huwez kujaji kitu kama hujafanya tafiti! Mwl wa degree aliyefanyq kaz zaid ya miaka 10 mshahara wake sawa na mtumishi wa certificate...
Uko sahihi sana ndg,huyu aliyeleta huu Uzi kwanza sio mtumishi wa serikali na kama mtumishi utakuta anafanyia kaz TRA ambako wao national housing ambako mtu wa certificate analipwa mshahara wa mwl wa degree hapo mtakuwa sawa? Aache umama huyo
Hii haki iko kisheria au n matamko tu na kama kunakifungua Cha sheria naomba hicho kifungu kinachotaja haki za mtumishi kama ulivyoziainisha ktk andiko lako tafadhari
Bei ingekuwa 100000 to and fro hakika shirika lingejiendesha lenyewe make ndege a ngekuwa zinajaa abiria mpaka zingetapika! Sasa mbeya dar utasikia 400000+
Kati ya waziri anaeongoza kumpotosha rais n waziri wa fedha anaejiita Dr! Huyu jamaa huwa simuelewi ktk kutengeneza hoja zake sijui lengo lake n nn kwa nchi yetu!
Kuna baadhi ya wabunge ambao n innocent walishawishiwa na akina mdee et all kuleta kiburi kisa mdee akijifanya mjuaji wa mambo bila kujua wanapotezwa sana! Kwa ujumla walipaswa kujirudia mapema kabla ya kufikia hii hatua! Huyu Nusrat si ndo alipigwa na polisi hafu huyu huyu tena anarudi kuungana...
Kama kutetewa mlisha tetewa sana lkn mkawaona si chochote si lolote Sasa ngoja dawa iwaingie kwanza! Sio muda wa kuwalaum Hawa CHADEMA waachen wapumzishe akili ili kujiandaa na mambo ya katiba! Ushauri CHADEMA kaeni kimya kwanza ili watanzania akili itukae vzr
Watanganyika wengi n mazezeta sana! Hoja yako n ya msingi lkn kwa akili za watanganyika sawa na kumpigia gitaa mbuzi! Binafsi nashangaa sana mm kwenda Zanzibar lazima niwe na kibali wao wanakuja Tanganyika bila kibali zaid wale jamaa wanawimbo wao wa taifa lkn cc huku hatuna wimbo wa taifa shida...
Shida ya wasomi akili zao sijui zikoje,unajenga madarasa likuki lkn walimu hamuwalipi vzri Sasa kunafaida gan ya kumsifia huyu wazir wenu? Kuna shida ktk hii nchi na watu wake!
Ila Rais tembelea halmashauri ya kilolo watumishi hasa walimu hawawatendeu haki hasahasa idara ya sekondary! Nimekaa Ile halmashauri Iko ovyo sana,na ili upate maelezo nenda kaongee na walimu wenyewe na sio utawala utajua matatizo ya ile halmashauri! Kwa ujumla Kila jambo ktk halmashauri Ile Iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.