Kuna mawili inaweza kuwa ni pneumonia maana huwa inawasumbua sana kondoo, pia yaweza kuwa ni minyoo hivyo nakushauri tafuta mtaalamu aliye karibu nawe kwa msaada zaidi.
Unaweza nitajia dawa ya minyoo ambayo umepatia na umekuwa ukiwapatia kila baada ya muda gani?
Kwa dalili ulizoandika hapo, moja kwa moja changamoto inayosumbua ng’ombe wako ni contagious bovine pleuropneumonia (CBBP) ambapo kwa kiswahili ni homa ya mapafu mara nyingi ng’ombe akipata ugonjwa huo hata baada ya kutibiwa na kupata nafuu atakuwa Carrier ambapo ataendelea kuwaambukiza ng’ombe...
Ile lugha iliyotumika pale ni watu wachache waliielewa, huoni baada ya kunyoosha mkono kesho yake serikali iliona hakuna haja ya kuleta mashahidi wengine.
Mbowe alikubali kosa hivyo serikali imeona haina haja ya kuendelea kumshtaki, hivyo hivi karibuni anatoka mahabusu.
Kitendo cha Mh. Mbowe kunyoosha mkono mahakamani tafsiri yake ilikuwa amekubali yaishe ni tofouti na watu wa nje walivyoitafasiri..
Mbona Pasaka anailia nyumbani kwake mwaka huu..
Ukiacha dalili hiyo ya kukohoa kuna dalili nyingine ambayo ameionesha? Kuna dawa kiboko kwa ajili ya changamoto za kukohoa ila bei yake iko juu sana kampuni ya Zoetis kama utakuwa vizuri nikuunge na muuzaji moja kwa moja.
Na kuhusu bata wako mwezi mmoja bado wadogo sana labda kama utaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.