Search results

  1. MWONA MBALI

    Rais ajaye huenda akawa mwenye uoga mwingi

    Nikiangalia kwa aina ya viongozi tulio nao wakati huu, ni uwazi kuwa wengi hawajiamini katika kutekeleza majukumu yao, wamejawa na uoga mwingi tena wasio jiamini. Na kwa kuwa sasa ni Tanzania ya Kijani sina mashaka kabisa kuwa ni mwana CCM tena atakae kuwa rais wetu ajae. shida inayo nijia...
  2. MWONA MBALI

    Tupeane maarifa ya biashara ya butcher

    Wadau, natamani sana kupata maarifa ya biashara ya butcher. Naombeni sana wenye maarifa na ujuzi nayo, kuanzia kwenye upatikanaji wa vibali na maarifa ya biashara kiujumla. Je, ni mtaji wa kiasi gani mtu anaweza kuanza nao?
  3. MWONA MBALI

    Tupeane taarifa za kibiashara kwenye maeneo tuliyopo

    Wadau, Mimi nawaza badala ya kuwa tunajadili fursa mbali mbali tu kiujumla. Kwanini tusiwe tunaonyesha mfano mtu yupo Mbeya au Kahama anatujajia bei ya mchele pande hizo? Mtu ambaye yupo Singida atupe bei ya mafuta ya alizeti, mtu wa Arusha labda bei ya maharage, alie sokoni Tandale au Buguruni...
  4. MWONA MBALI

    Unafiki wa wanasiasa na siasa za Tanzania

    Ni hapa tu tanzania utaona mpinzani anaongea hili leo kesho anaongea lingine. Safari ya vyama vya siasa bado ni kubwa, hata wale wenye maono ya kubadili mfumo wa siasa tulio nao wanamezwa na ushabiki na kuutafuta umaarufu. Upinzani wa tanzania bado hauna dira, hawana ajenda kwa wananchi. Kwenye...
  5. MWONA MBALI

    Hii imekaaje?

    Kiongozi wa serikali ananituhumu hadharani kwa kosa linalohitaji ushahidi wa kitaalam, ushahidi wa kosa hilo unachunguzwa na chombo cha serikali, na tuhuma zinathibitika kitaalam kutoka serikalini. Wana jamii hapa haki ya mtuhumiwa inapatikanaje ili chombo huru kichunguze? Je hapa hapaonekani...
  6. MWONA MBALI

    Makada wenzangu hebu tupate chemba kidogo tutete

    Nasema naitamani chemba, tena chemba isiyo na vibaraka, chemba ninayo itaka ni ya wenzangu vindakindaki, chemba isiyo na watu waoga wanapigia makofi kila kitu mradi mkono uende kinywani, chemba ni nayo itaka ni chemba ya wafia chama, najua wapo wengi, chemba ninayo itaka isiwe na kikao cha...
  7. MWONA MBALI

    Kwa hili la Machinga, sasa nimeamini Polisi wanatumika vibaya

    Nilikuwa mbishi sana kuamini kauli za wanasiasa hasa wapiga kelele zisizo isha, kuwa polisi wanatumika vibaya. Ila jana kwenye maelekezo ya mheshimwa juu ya machinga na wanyonge wa nchi hii, amewataka viongozi hasa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi kuto watumia vibaya polisi. Sijui kama leo...
  8. MWONA MBALI

    Catherine Magige umeniangusha sana

    NIKIWA MKAZI WA ARUSHA AMBAE NIMEHUDHURIA MKUTANO WA WAZIRI MKUU LEO KWENYE VIWANJA VYA SHEIKH AMRI ABEID, NASIKITIKIA KITENDO CHA MBUNGE WA KUTEULIWA CATHERIN MAGIGE KUSHINDWA KUJENGA HOJA JUKWAANI NA KUISHIA KULIA MBELE YA WAZIRI MKUU. MKUU WA MKOA NDUGU GAMBO ALIKUWA NA MAKUSUDI MAALUM YA...
  9. MWONA MBALI

    Shairi mujarabu kwa aliye gerezani Kisongo

    Mwisho wake akachoka majuto anajutia rumande imemshika, machozi ajililia yale aliyoropoka, gereza kujitakia hizi zama sio zile, ujifunze ukitoka. Imepangwa januari, utoke uwahi bunge utakuwa mhariri, wa vikundi na vilinge tena utawakariri, na wengine wasipinge huu wakati wakazi, wewe waota mchana?
  10. MWONA MBALI

    'Kulemwa' msamiati mpya sokoni

    Wanachi wametakiwa kuwa makini na kushiriki shuhuli za maendeleo na kuto kupoteza muda vijiweni , matokeo yake ni kujichonganisha na serikali na mwisho uta LEMWA. KULEMWA NI KUBAYA SANA
  11. MWONA MBALI

    Ongezeko la wabunge wa upinzani na maendeleo Majimboni

    Ukimuuliza mpinzani leo nini faida ya umoja wao wa UKAWA hata sita kukutajia moja ya faida ni kuongezeka kwa wabunge wa kuchaguliwa na wakuteuliwa. Pamoja na ukweli huo hivi wabunge wa upinzani wanawajibika ipasavyo katika kuwaletea wananchi wao maendeleo? au bado wamejikita katika propaganda...
  12. MWONA MBALI

    Umefika wakati wa kutoshabikia mtu

    Nashukuru kwa fursa hii ya kuliweka wazo langu mbele yenu wana jamii forum. tafakari yangu ya leo ni juu ya wanasiasa kujijengea umaarufu binafsi badala ya chama au taasisi anayo isimamia. Wana siasa wa kiafrika wengi wao wanahuu ugonjwa wa kutaka sifa na kujenga hoja binafsi, kwa mtazamo...
  13. MWONA MBALI

    Tutaruhusu suala la mapenzi ya jinsia moja kwa kigezo cha diplomasia ya uchumi?

    Mwanzoni mwa utawala huu kuliibuka swala la kusimamia maadili ikiwamo vita dhidi ya wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. wakuu mbalimbali akiwemo mkuu wa kaya wa hapa dar es salaam alihusika sana kutoa vitisho na kulipanga jeshi la polisi la kanda maalum. Sasa kumeibuka hoja ya...
  14. MWONA MBALI

    Hivi kuna haja ya kuwa na Bunge?

    Kwa jinsi mambo yanavyo kwenda kwa sasa, ni kama bunge limekuwa ni kupitisha tu matakwa ya serilikali, sijaona picha ya uwakilishi wa wananchi au kwa vile bunge sio live tena? Ningetamani kusikia kila kilichojadiliwa na bunge letu tukufu ila sina tena wasaa huo maana hakuna chombo cha habari...
  15. MWONA MBALI

    Tamaa ya vyeo ni sumu kwa wanahabari

    Tasnia ya habari ina wingu zito linalo zunguuka, kwa mtazamo wangu na hali yetu ya maisha ilivyo ngumu mtaani ni mjinga tu ndie atakae ikataa fursa ya kujikwamua kiuchumi. Kwa muda sasa kumekuwa na tabia ya viongozi wa kisiasa kuteua waandishi mbalimbali kwenye nafasi za kiuteuzi kama ukuu wa...
  16. MWONA MBALI

    Ningekuwa mwana CHADEMA ningeshauri tukio kubwa tarehe 05 Novemba, 2016

    Nilisha andika mahala kuwa CHADEMA ni chama kikubwa ila idara yake ya uenezi na propaganda ni dhaifu sana. Ningekuwa mwana CHADEMA labda ningeshauri wasingeiacha tarehe 5 November ipite kama inavyopita. CHADEMA ni chama cha mawazo ya pili , yaani mawazo shindani leo hii raisi ameitisha kikao...
  17. MWONA MBALI

    CHADEMA FANYENI UCHAGUZI SASA!

    Kama raia mwenye kuipenda nchi yangu, najisikia kutoa maoni yangu kwa chama kikuu cha pili Tazania bara baada ya CCM. Nimesoma kuwa mwishoni mwa week iliyopita Kamati kuu ya CHADEMA ilikutana na moja ya ajenda zake ni kutathmin hali ya kisiasa ilivyo nchini. Kwa mtazamo wangu kamati kuu ya...
  18. MWONA MBALI

    Rais Magufuli hayupo karibu na wala rushwa na mafisadi, na wala hawamsogelei

    Mnyonge mnyongeni, na haki yake mpeni; kwenye kumbukumbu ya mwalimu Nyerere nimeisikia moja ya hotuba zake kwa taifa akisisitiza aina ya kiongozi anae hitajika na taifa letu. Mwalimu akagusia , tunahitaji kiongozi hata ukimwangalia usoni unamsoma kabisa kuwa huyu sio mpenda rushwa na ufisadi...
  19. MWONA MBALI

    Ni uoga wa kumkosoa Rais au tamaa ya vyeo?

    Vyombo vya habari vimejikita sana kwenye kumpima "Mheshimiwa" na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi, si jambo baya kabisa maana lina tija kwa taifa. Maana rekodi inawekwa sawa Hofu yangu ni uoga ulioanza kujitokeza kwenye kukosoa, nafuatilia makala mbalimbali juu ya utekezaji wa ahadi za...
  20. MWONA MBALI

    Prof. Lipumba amefanya mapinduzi yaliyomshinda kimbinu

    Kwa mtazamo tu , alichokifanya 'Bwana Yule' ni kuongoza mapinduzi ya kiuongozi dhidi ya chama chake ila kosa kubwa alilofanya ni kutokuyafanya kisayansi. Wenye historia ya viongozi kama Buyoya wa Burundi, obasanjo wa Nigeria wanaweza kufanya marejeo. BWANA YULE, ilipaswa afanye ushawishi wa...
Back
Top Bottom