habari ya zenu jamani,....ningependa kujua mtu wa kwanza kunyongwa kwa adhabu ya kifo tanzania ni nani ?na alifanya kosa gani naombeni mnisaidie kwa anayejua,thanks
wadau hivi ile clip ya bhoke na ernest wa big brother naweza iangalia mtandao gani?...samahani wadau nataka kufurahisha macho tu pole kama nitamkwaza mtu
habari za saa hizi jamani,naombeni mnisaidie kuna mtu nabishana nae hapa,kati ya mwaka 2001 au 2002,simba ilicheza na timu moja kutoka misri,harafu mvua ikanyesha wakati simba inaongoza goli mbili,mechi ikaahirishwa,iliporudiwa simba ikashinda goli moja lakini ikatolewa kwenye mashindano.je...
mke wangu akifanya kosa,.hapendi kuambiwa,nikimwambia ananuna wiki nzima,nikicheki simu zake nakuta msg za mamake akimpa pole na ushauri kana kwamba nimekosea kumwambia makosa yake,tena pasipo hata kuniuliza ili abalance story,naombeni ushauri jamani maana sina amani nyumbani kwangu mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.