Miaka ya hivi karibu kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake wa kitanzania kuhitaji kuolewa na kuishi na mwanaume ampendaye kwa dhati, hakika hiyo ni ndoto kwa kila mwanamke wa kitanzania, lakini imekuwa kinyume chake pengine maisha na mazingira hubadilika katika zama tofauti, ila wahenga walinena...
Kuna mjinga mmoja hapa kanisaliti ila kasafiri nasubiri arudi nimtoe outing pale kariakoo halafu naita MWIZIIIIIIII MWIZIIIIIIII.... nasepa taratibu huku nikiona raia wanafanya yao. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji375]
THE KOMMON MAN part 2. Soma hii play. [emoji23] [emoji23] [emoji23] umekopi kwenye hii play halafu unatranslate kwa kiswahili. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.