Mkuu hata mm namshangaa mleta mada ila simlaumu maana lugha ya malkia ni tatizo.. Mbaya zaidi kuna wachangiaji ambao hata hawajafungua hiyo video.. Naanza kuamini ule utafiti wa kuwa kati ya watanzania wanne mmoja ni kichaa
Wakuu
Mara kwa mara nimekua nikisikia Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi but kiufupi silijui hili baraza Kwahiyo naomba kuuliza maswali yafuatayo.
1.wajumbe wa baraza hili ni ki nani?
2. Majukumu ya baraza hili ni yapi?
3. Mwenyekiti wa Baraza hili huchaguliwa vipi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.