Najaribu kufikiri sipati jibu. Mtoto au Si mtoto Wa Nyerere au nani kamuua nani. Arumeru Si Uwanja wake . Tuhuma za mtu aliyesababisha kifo cha baba yangu au ndugu yangu siwezi kuzimwaga jukwaani...
Kweli naona uzalendo Tanzania kwisha kabisa . Msimamo Wa serikali ulitamkwa na Bwana Membe Mimi naamini ni Msimamo thabiti kabisa hasa kwa Taifa letu lenye sifa katika utatuzi Wa migogoro. Hiwezi tambua serikali ya waasi ukikubali hilo basi kila Nguni atataka kutwaa nchi. Mpaka Leo Rajolina...
HUU mchezo Wa kukana watu kausema hata Marando mwenyewe Kama Shibuda sio Chadema nashindwa kuelewa basi CCM nao waseme Chenge sio CCM. Wana CDM kukubali makosa ndio mwanzo Wa kujirekebisha
Unajua watanzania ni hatari sana CAG mzuri kama ripoti imetoa kile watakacho akitoa tofauti na walivyotaka basi CAG mbaya. Mimi nakubaliana kabisa na ripoti ya CAG . Sasa Jairo keshakuwa Newsmaker tumeisha sahau maendeleo na mijadala mingine
Unajua Bunge sasa linataka kutupotezea mambo muhimu...hili suala la Jairo laweza chukua muda si kwa sababu Jairo katoa Rushwa au kachukua Rushwa ni kwa sababu wabunge wanamchukia amewaita the comedy na pia wengi wao aliwanyima nafasi ama fursa kadhaaa akiwa Ikulu. Nchi Hii haiwezi kwenda mbele...
Ya Uingereza yametufundisha Acheni kuganga njaa. Maandamano sio suruhisho hata kidogo labda muwe mnataka kuonekana CNN au Ndugu zenu hawajawaona siku nyingi kwa vile hamjarudi. Nauliza watu wengi wanasema na schedule Hizi nani akaandamane???
Very good ametimiza malengo ya millennia uzazi salama tunasubiri Mzee Slaa utakapo tubu na kuhararisha ndoa. Itakuwa sherehe ya kitaifa ili mtoto asikue nje ya ndoa. Naamini Bwana Mushumbusi hata sumbua tena...
Hatuoni mlipuko hapa zaidi ya majungu ya mtoa hoja. Nimeskiliza wenje zaidi alikuwa anajijenga kisiasa pia aliyemwandikia hakumpa mpangilio vizuri. Membe did well in his speech. Ila shibuda mwisho Wa speech yake niliona Kama anawatwanga viongozi Wa CDM?? Baada ya hapo ilibidi niondoke niwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.